• kuna siku nilijiset nikamsimamisha bint wa kihaya/
    nikamwambia mambo mrembo naitwa ben nikikujua sio vibaya/
    akanijibu) my name is maya/
    i come from ulaya/
    sifagilii umalaya/
    nani atakukubalii na huo msura mbaya/
    me wa savana we mnywa choya/
    ukimpenda dada yako sio mbaya/
    kuna siku nilijiset nikamsimamisha bint wa kihaya/ nikamwambia mambo mrembo naitwa ben nikikujua sio vibaya/ akanijibu) my name is maya/ i come from ulaya/ sifagilii umalaya/ nani atakukubalii na huo msura mbaya/ me wa savana we mnywa choya/ ukimpenda dada yako sio mbaya/
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·179 Views
  • Stor inayovuma kitaa,
    Ni unyoya kuhamia UWABATA,
    Maana sionekani tena kwa mama Muuza,
    Wala kwenye vilinge ya bata,
    Pesa yangu kuipata ni utata,
    Labda kama umenikopa,
    Ndo naweza kufikiria kukulipa,
    Sio kutumia pesa kwa anasa,
    kuhonga wakina latifa,
    Unyoya nimeshabadilika,
    Sitoi popote hata mia,
    Hata kwenye daladala,
    Konda akisema hana chenchi,
    Safar yangu namalizia,
    Nibora nikashuke mwisho,
    Nirudi kwa mguu mdogo mdogo,
    Kuliko kumuachia mshiko
    Wakat hiyo ndo bajet ya kesho,
    Pesa yangu hailali kwa mtu,
    Nitakufwata hata usiku,
    Uje unipe kilicho changu,
    Uwabata ndo chama langu,
    Na mimi ndo wanachama muadilifu,
    Nafwata vyote vifungu,
    Cheza na kila kitu sio pesa yangu,
    Ubahili ndo dira yangu,
    Viva UWABATA,
    Viva chama la Wana,
    Stor inayovuma kitaa, Ni unyoya kuhamia UWABATA, Maana sionekani tena kwa mama Muuza, Wala kwenye vilinge ya bata, Pesa yangu kuipata ni utata, Labda kama umenikopa, Ndo naweza kufikiria kukulipa, Sio kutumia pesa kwa anasa, kuhonga wakina latifa, Unyoya nimeshabadilika, Sitoi popote hata mia, Hata kwenye daladala, Konda akisema hana chenchi, Safar yangu namalizia, Nibora nikashuke mwisho, Nirudi kwa mguu mdogo mdogo, Kuliko kumuachia mshiko Wakat hiyo ndo bajet ya kesho, Pesa yangu hailali kwa mtu, Nitakufwata hata usiku, Uje unipe kilicho changu, Uwabata ndo chama langu, Na mimi ndo wanachama muadilifu, Nafwata vyote vifungu, Cheza na kila kitu sio pesa yangu, Ubahili ndo dira yangu, Viva UWABATA, Viva chama la Wana,
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·70 Views
  • Nipe ile yandiz.. Mbege au banan!!
    Ukitaka Usiz.. nyagi na cookar changanya!!
    Ucheze buzuki.. Balimi ninywe mie!!
    Ukinywa wanzuki.. kidogo uitingishie!!
    Sie masela sio dompo!!
    Lite mapicha ila zetu ni gongo!!
    Wa pilsner na nyodo!!
    Nijibust na K*Vant na ugoro kidogo!!
    Wine wanakunywa vigogo!
    Machizi boti tukinywa line?
    Labda safari kidogo!!
    Safari ya ghetto!!
    Biill ya kill na castle!!
    Japo kitoko dabo kick ni
    wafuasi wa nyeto!!
    Valuu,Jack Daniels,Elizabeth Queen!!
    Zina waka bamba laga mixer na Smart Gin!!
    Nipe ile yandiz.. Mbege au banan!! Ukitaka Usiz.. nyagi na cookar changanya!! Ucheze buzuki.. Balimi ninywe mie!! Ukinywa wanzuki.. kidogo uitingishie!! Sie masela sio dompo!! Lite mapicha ila zetu ni gongo!! Wa pilsner na nyodo!! Nijibust na K*Vant na ugoro kidogo!! Wine wanakunywa vigogo! Machizi boti tukinywa line? Labda safari kidogo!! Safari ya ghetto!! Biill ya kill na castle!! Japo kitoko dabo kick ni wafuasi wa nyeto!! Valuu,Jack Daniels,Elizabeth Queen!! Zina waka bamba laga mixer na Smart Gin!!
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·603 Views
  • Asivyopanda me nakusanya yeye anatawanya
    Anatawanya kila nyanja kila idara anaamua nini chakufanya
    Chakufanya sna mwenzenu nimeishazdiwa ujanja
    Ujanja kam wa panya kung'ata kidole akapuliza alaf tena akaonja
    Akaonja kla fahari niliyoisaka kwa jasho na hii akili
    Akili haimin kama niliyemthamin amenitenda kweli
    Kwel mapenz ya kwel yako kwa mama
    Mama hazidiw thaman na mashor hata wakija chama
    Chama kisichosimama kwenye utawala wa mwadhama
    Mwadhama kama pengo sihubir siasa nyakat za kiama
    Kiama kpo usoni karb knatua kutufunka machoni
    Machoni kumejaa tongotongo si uongo njia ya kupita siioni
    Siioni hata roho yng inapoelekea nanywea na mashaka yamenielemea
    Yamenielemea mengi zaid ya ukwasi r.i.p Reginard Mengi
    Mengi makosa yanakinai bado tunafurah kuruka viwanja na mashangingi
    Mashangingi wanatubomoa msingi tunafanya dhambi na toba hatuombi
    Hatuombi na maombi ya kuokoa roho kutwa kusal il tujae vitambi
    Vitambi kambi rasmi na raman ya mjenz iweliwa na panya mshenz
    Mshenz ndio ataangamizwa mwema apate pumziko la enzi
    Asivyopanda me nakusanya yeye anatawanya Anatawanya kila nyanja kila idara anaamua nini chakufanya Chakufanya sna mwenzenu nimeishazdiwa ujanja Ujanja kam wa panya kung'ata kidole akapuliza alaf tena akaonja Akaonja kla fahari niliyoisaka kwa jasho na hii akili Akili haimin kama niliyemthamin amenitenda kweli Kwel mapenz ya kwel yako kwa mama Mama hazidiw thaman na mashor hata wakija chama Chama kisichosimama kwenye utawala wa mwadhama Mwadhama kama pengo sihubir siasa nyakat za kiama Kiama kpo usoni karb knatua kutufunka machoni Machoni kumejaa tongotongo si uongo njia ya kupita siioni Siioni hata roho yng inapoelekea nanywea na mashaka yamenielemea Yamenielemea mengi zaid ya ukwasi r.i.p Reginard Mengi Mengi makosa yanakinai bado tunafurah kuruka viwanja na mashangingi Mashangingi wanatubomoa msingi tunafanya dhambi na toba hatuombi Hatuombi na maombi ya kuokoa roho kutwa kusal il tujae vitambi Vitambi kambi rasmi na raman ya mjenz iweliwa na panya mshenz Mshenz ndio ataangamizwa mwema apate pumziko la enzi
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·375 Views
  • H . E . B . R . O . N
    Ni hatari kwa afya yako ukitumia cocaine!!
    Kingereza sio lugha yangu so fresh tu hata niki speak broken!!
    Wana hip hop together we can!!
    You know its not easy to get in and sustain!!
    M . U . N . A
    Me with hip hop we have the same DNA!!
    Ukichonga kuhusu mimi siongei!!
    Nakaza milele never delay!!
    Snich has many things to say!!
    A . M . M . C
    Nikiandika mistari huwaga ni better fasihi!!
    Wasema mwema kwavile anakuhagi na kukupa kiss!!
    Usishangae kujua huwaga anakaa pembeni na kukudiss!!
    Sio kila mwenye mkia mnene ni kondoo wengine fisi!!
    But you need to show them true love and peace!!
    H . E . B . R . O . N Ni hatari kwa afya yako ukitumia cocaine!! Kingereza sio lugha yangu so fresh tu hata niki speak broken!! Wana hip hop together we can!! You know its not easy to get in and sustain!! M . U . N . A Me with hip hop we have the same DNA!! Ukichonga kuhusu mimi siongei!! Nakaza milele never delay!! Snich has many things to say!! A . M . M . C Nikiandika mistari huwaga ni better fasihi!! Wasema mwema kwavile anakuhagi na kukupa kiss!! Usishangae kujua huwaga anakaa pembeni na kukudiss!! Sio kila mwenye mkia mnene ni kondoo wengine fisi!! But you need to show them true love and peace!!
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·632 Views
  • Nachukia kuona ubabaishaji!!
    Ulio jaa kila kona mungu ndio mpaji!!
    Nachukia kuona ubabaishaji!! Ulio jaa kila kona mungu ndio mpaji!!
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·427 Views
  • Tangu enzi babu ajawa babu!!
    nipo tangu bakhlesa sio bosi anapata tabu!!
    Misingi imara ata nyumba ikitanda nyufa!!
    ndo maana sivimbi kifara napo kumbuka kuna kufa!!
    Niko tayali kuitwa boya wafa maji wapone!!
    na imarisha ndoa wadangaji wakome!!
    Ukiwa mbali nione mm ni version huru!!
    tuition huku watoto chai uhakakika nipo sukari guru!!
    Tangu enzi babu ajawa babu!! nipo tangu bakhlesa sio bosi anapata tabu!! Misingi imara ata nyumba ikitanda nyufa!! ndo maana sivimbi kifara napo kumbuka kuna kufa!! Niko tayali kuitwa boya wafa maji wapone!! na imarisha ndoa wadangaji wakome!! Ukiwa mbali nione mm ni version huru!! tuition huku watoto chai uhakakika nipo sukari guru!!
    Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·293 Views
  • Mliofata nyayo zangu nawasikitikia..
    Maana uku nilipo muuni nishapotea njia..
    Mliofata nyayo👣 zangu nawasikitikia.. Maana uku nilipo muuni nishapotea njia..
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·75 Views
  • Alikua mcheshi mpole mwenye matani ila hakuna alie zani..
    Alikua mjeshi kambini msoma ramani Leo kama utani..
    Namtua gun begani ila vyeo vitabaki gwandani..
    Huna baya mbele Yako nyuma yetu daima tutakukumbuka..
    Maombi kwa mola nayasuka Peponi daima uweze shuka..
    We ndo mzaa mama Wamtei Nizzo chema daima ntakukumbuka..
    #rest_in_peace_bibi
    Alikua mcheshi mpole mwenye matani ila hakuna alie zani.. Alikua mjeshi kambini msoma ramani Leo kama utani.. Namtua gun begani ila vyeo vitabaki gwandani.. Huna baya mbele Yako nyuma yetu daima tutakukumbuka.. Maombi kwa mola nayasuka Peponi daima uweze shuka.. We ndo mzaa mama Wamtei Nizzo chema daima ntakukumbuka.. #rest_in_peace_bibi
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·127 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·63 Views