• HAHAHAA,KILA SKANI MI NATIMBA,
    DAR A TOWN HADI BUTIMBA,
    UNA****A UNAKIMBIA MIMBA,
    TEGEMEA KIPAJI SIO NDUMBA,

    IKIGOMA 2TAKUONA MCHUMBA,
    NASONGA JAPO MIPANGO INA YUMBA,
    MTOTO WA MJINI KUONEKANA MCHUMBA,

    SKANI TUNA SMOKE,
    SOME PULIZA COKE,

    KAMA PARTY NA WHISKY,
    UR RHYMES R PITY,UR FACE IS BEAUTY,
    QUALIFY 2 BEAUTY CONTEST,
    NOT HIPHOP LYRICS,
    THIS IZ ANOTHER LEVEL,

    U'L NEVER CATCH ME,
    A GOT BLESSES IN ME ,

    LIK KING SOLOMOM,
    AND THE WORDS OF WISDOM,

    SEX WIT CONDOM,
    INAPOTEZA HAMU,STILL KITU MUHIM,

    NIT LIKU NDUMU,BLUNT,WEED DA JOOOINT
    BABBY, WORD UP
    GET HIGH EVERY DAY,
    EVERY RYHM A KICK LYK A BOOM SOUND

    UMECHOKA HUKU UMESIMAMA
    HAHAHAA,KILA SKANI MI NATIMBA, DAR A TOWN HADI BUTIMBA, UNA****A UNAKIMBIA MIMBA, TEGEMEA KIPAJI SIO NDUMBA, IKIGOMA 2TAKUONA MCHUMBA, NASONGA JAPO MIPANGO INA YUMBA, MTOTO WA MJINI KUONEKANA MCHUMBA, SKANI TUNA SMOKE, SOME PULIZA COKE, KAMA PARTY NA WHISKY, UR RHYMES R PITY,UR FACE IS BEAUTY, QUALIFY 2 BEAUTY CONTEST, NOT HIPHOP LYRICS, THIS IZ ANOTHER LEVEL, U'L NEVER CATCH ME, A GOT BLESSES IN ME , LIK KING SOLOMOM, AND THE WORDS OF WISDOM, SEX WIT CONDOM, INAPOTEZA HAMU,STILL KITU MUHIM, NIT LIKU NDUMU,BLUNT,WEED DA JOOOINT BABBY, WORD UP GET HIGH EVERY DAY, EVERY RYHM A KICK LYK A BOOM SOUND UMECHOKA HUKU UMESIMAMA
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Achana na nguvu za giza,
    Nasoma yasiyo andikika,

    Naandika yasiyosomeka,
    Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika,

    Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika,
    Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika,

    Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika,
    Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika,

    Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika,
    Kwa kalamu naandika,
    Mikono inavimba mchiz napigika,

    Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba,

    Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika,

    Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika,
    Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika,

    Me ndo mc mpatashika,
    Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
    Achana na nguvu za giza, Nasoma yasiyo andikika, Naandika yasiyosomeka, Nakamua tumbo la nchi kutapisha elimu yaliyofichika, Nimebeba akili za wengi niite fuvu la wenye fikra napachika, Natembea kwenye contua za ubongo kuziunganisha zilizofutika, Tega sikio, unasikiliza hekaya za mpatashika, Mwelemewa wa mitungi mizito ya machozi ya wataabika, Damu iliyogeuka wino kwenye karatasi inamiminika, Kwa kalamu naandika, Mikono inavimba mchiz napigika, Hiphop fani inapozikwa nahuzunika kuliko msiba, Napata uchungu zaidi ya nyongo inayomwagika, Kichefuchefu nikitema mate wengi wanayazunguka wakizan yamemwagika, Tamaa ni kuyaokota wakidhani tiba imefika, Me ndo mc mpatashika, Naunganisha vipande vya Hekaya zilizochanika,
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·66 Ansichten
  • stebo zaidi ya mlima mtu mzima nimesimama,

    jaribu pima uzikwe mzima mzima,

    nime simama mtu mzima,

    nashanga upo macho pima,

    kila verse nayo2pa ngumu mithil ya chuma,

    me superstar hat bado cjavuma,

    mnyao mnachamba wima,

    nawaongoza wafuasi shazi nyuma,

    kiongozi shupavu kusimamisha hiphop wima,

    chuma, hama kwepa lawama muabudu maulana,

    bila sahau mshua boy big up mtu mzima nakupa free,

    vina vinajaa kwenye mashairi,mwenyewe utakiri,mi tajri maskini ila kafiri,kafiri!

    kamavp njoo nkupe dili kachimbe kaburi ,kazike kiburi,
    stebo zaidi ya mlima mtu mzima nimesimama, jaribu pima uzikwe mzima mzima, nime simama mtu mzima, nashanga upo macho pima, kila verse nayo2pa ngumu mithil ya chuma, me superstar hat bado cjavuma, mnyao mnachamba wima, nawaongoza wafuasi shazi nyuma, kiongozi shupavu kusimamisha hiphop wima, chuma, hama kwepa lawama muabudu maulana, bila sahau mshua boy big up mtu mzima nakupa free, vina vinajaa kwenye mashairi,mwenyewe utakiri,mi tajri maskini ila kafiri,kafiri! kamavp njoo nkupe dili kachimbe kaburi ,kazike kiburi,
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • sitafuti pesa najua haijapotEA
    nisahihisheni kama nimekosEA
    pesa ipo kwenye mzunguKO
    nairejesha upande wangu ipate muamKO
    sitafuti pesa najua haijapotEA nisahihisheni kama nimekosEA pesa ipo kwenye mzunguKO nairejesha upande wangu ipate muamKO
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·59 Ansichten
  • Inatokea, siku mbaya alafu haisongi,,, ata kwa mwiko gan...
    Kwa MUNGU nfanye maombi,,, majibu alete shetan...
    Inatokea, tunaanza tu ubest, mwisho tunakuwa wachumba...
    Mwanzo wakujaza chest, sindio kujenga mwili nyumba...
    Ninywe tu moja moja,, mwisho wa saa ndo nayumba...
    Inatokea, anaeniroga,,nae dunia inamfunza...

    Inatokea, siku mbaya alafu haisongi,,, ata kwa mwiko gan... Kwa MUNGU nfanye maombi,,, majibu alete shetan... Inatokea, tunaanza tu ubest, mwisho tunakuwa wachumba... Mwanzo wakujaza chest, sindio kujenga mwili nyumba... Ninywe tu moja moja,, mwisho wa saa ndo nayumba... Inatokea, anaeniroga,,nae dunia inamfunza... 🤔
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·68 Ansichten
  • Wakuu habar zenu mwenzenu nina msala wa kutoka na mke wa mtu natafutwa kama mtu aliye fanya tukio la mauaji kwa uko nilipo kimbia nifanye nn ili niepukane na huu msala
    Wakuu habar zenu mwenzenu nina msala wa kutoka na mke wa mtu natafutwa kama mtu aliye fanya tukio la mauaji kwa uko nilipo kimbia nifanye nn ili niepukane na huu msala
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·62 Ansichten
  • Mnajipost wana yanga mkiferi tutacheka...
    Ngoja tupost pesa na emoj za kucheka..
    Me mwana harakati niko getto nasuka mkeka..
    Mana pic kali zikiona pesa ndo zinacheka...
    Mnajipost wana yanga mkiferi tutacheka... Ngoja tupost pesa na emoj za kucheka.. Me mwana harakati niko getto nasuka mkeka.. Mana pic kali zikiona pesa ndo zinacheka...
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·161 Ansichten
  • BAADA YA KUWAONA.. VIJANA WAMEKUA TISHU..
    JIBABA NIMEWASOMA.. AFU NAWAONA HAWANA ISHU..
    BAADA YA KUWAONA.. VIJANA WAMEKUA TISHU.. JIBABA NIMEWASOMA.. AFU NAWAONA HAWANA ISHU..
    Like
    3
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·67 Ansichten
  • For the first day.. walinitazama tena hawapo!!
    Sikua na way.. niende kwamungu niende kula kiapo!!
    Nataka niache kila kitu.. kwaniaba nitakasike!!!
    So kuabudu tu.. mpaka nyimbo za dini niandike!!!
    Sasa nifanye nini ili nipate kuona uwokovu!!
    Inabidi nifanye toba ili nisahau mengi maovu!!
    Tatizo langu sikugundua.. ninachokifanya nitakuja kuangukia pua!!
    Tatizo langu ni ubishi sikusikia.. tatizo sikujua kwamba ninatesa yangu familia!!
    Hili ndilo tatizo kubwa lilonikuta.. mwenzenu niliya haribu maisha naleo najuta!!
    For the first day.. walinitazama tena hawapo!! Sikua na way.. niende kwamungu niende kula kiapo!! Nataka niache kila kitu.. kwaniaba nitakasike!!! So kuabudu tu.. mpaka nyimbo za dini niandike!!! Sasa nifanye nini ili nipate kuona uwokovu!! Inabidi nifanye toba ili nisahau mengi maovu!! Tatizo langu sikugundua.. ninachokifanya nitakuja kuangukia pua!! Tatizo langu ni ubishi sikusikia.. tatizo sikujua kwamba ninatesa yangu familia!! Hili ndilo tatizo kubwa lilonikuta.. mwenzenu niliya haribu maisha naleo najuta!!
    Like
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·203 Ansichten