utawala wa upinzaNI nampinga sam..
na leo nipo dimbaNI mkataba wa bandari sijahuaminIA
huyu mama awezi kuongoZA hata kuchunga mIA
njemba zikimtongoZA zimpe rungu sio bamIA
inchi anaiacha nakukiMBIA kwa utamu wa taNGO
iteni polisi sitokiMBIA tena nawafungulia mlaNGO
utawala wa upinzaNI nampinga sam..
na leo nipo dimbaNI mkataba wa bandari sijahuaminIA
huyu mama awezi kuongoZA hata kuchunga mIA
njemba zikimtongoZA zimpe rungu sio bamIA
inchi anaiacha nakukiMBIA kwa utamu wa taNGO
iteni polisi sitokiMBIA tena nawafungulia mlaNGO