0 Kommentare
·0 Anteile
·81 Ansichten
-
nawaza nakuwazua akili inakosa majIBU mwili unakosa utulivu moyo unanyongonyea taratIBU
kinachoniuma zaidi yani nimezaliwa kwa TABU nimekua kwa TABU na kufa nife kwa TABU
hivi kifo ni nini na nikifa naenda wAPI na siku nikifa sijui wataumia ndugu wangAPI kifo sijui kitanikutia wAPInawaza nakuwazua akili inakosa majIBU mwili unakosa utulivu moyo unanyongonyea taratIBU kinachoniuma zaidi yani nimezaliwa kwa TABU nimekua kwa TABU na kufa nife kwa TABU hivi kifo ni nini na nikifa naenda wAPI na siku nikifa sijui wataumia ndugu wangAPI kifo sijui kitanikutia wAPI0 Kommentare ·0 Anteile ·303 Ansichten -
-
-
-
-
-
nilimjua baba.. kabla ya baba.. muNGU riziki ni kupata na wara siyo mafuNGU
najua fulani hapendi rap.. kabISA kuacha rap.. naku trap.. nikuhasi kanISA
nilimjua baba.. kabla ya baba.. muNGU riziki ni kupata na wara siyo mafuNGU najua fulani hapendi rap.. kabISA kuacha rap.. naku trap.. nikuhasi kanISA0 Kommentare ·0 Anteile ·134 Ansichten -
nimeyapoteza maisha.. kwahyo nipotezeeni tUU
msingi bora maarifa.. na ndo huu msingi mkUU
vunga mko high.. na mawazo ya kisheNZI
tumepewa uhai.. ila duniani tupo kimatembeZI
utajiri wa kwanza afya.. japo maisha yale yaLE
usiishi kimafya.. mbinguni ndo makazi ya mileLE
yanini kusoma.. kiwa kwa mungu ntasomeWA
Street pesa hakuna na maandiko yanasema.. ombeni mtapeWA
nimeyapoteza maisha.. kwahyo nipotezeeni tUU msingi bora maarifa.. na ndo huu msingi mkUU vunga mko high.. na mawazo ya kisheNZI tumepewa uhai.. ila duniani tupo kimatembeZI utajiri wa kwanza afya.. japo maisha yale yaLE usiishi kimafya.. mbinguni ndo makazi ya mileLE yanini kusoma.. kiwa kwa mungu ntasomeWA Street pesa hakuna na maandiko yanasema.. ombeni mtapeWA -
Matukio yaliyotuumiza sana ndio huwa yanatuachia mafunzo bora katika maisha yetu."Matukio yaliyotuumiza sana ndio huwa yanatuachia mafunzo bora katika maisha yetu."