0 Σχόλια
0 Μοιράστηκε
95 Views
Κατάλογος
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
-
-
-
“We grow fearless when we do the things we fear.” #cktvtanzania0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 126 Views
-
“Change is hardest at the beginning, messiest in the middle and best at the end.” #cktvtanzania0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 373 Views
-
How is evening??How is evening??0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 90 Views
-
-
-
-
"Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea"
"Suala la Usajili wa Chama ni sehemu ya biashara yetu. Kila mtu anakiri kuwa usajili wa Chama ni usajili mkubwa. Najua wengi wanauliza kwanini hatujamtambulisha Chama na jezi ya Yanga. Mtiririko wa matukio ya usajili huu wa Chama kwetu ni fursa. Najua wengi wanatamani kujua Chama ataonekanaje na jezi ya Yanga. Hapo ndipo tunalenga kuuza usajili huu"
"Tarehe 4 Agosti 2024 ndio kilele cha siku ya mwananchi katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Tutakwenda kutangaza tunafungulia wapi na kampeni zetu zitagusa maeneo gani" - Ali Kamwe, Afisa habari wa klabu ya Yanga SC."Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" "Suala la Usajili wa Chama ni sehemu ya biashara yetu. Kila mtu anakiri kuwa usajili wa Chama ni usajili mkubwa. Najua wengi wanauliza kwanini hatujamtambulisha Chama na jezi ya Yanga. Mtiririko wa matukio ya usajili huu wa Chama kwetu ni fursa. Najua wengi wanatamani kujua Chama ataonekanaje na jezi ya Yanga. Hapo ndipo tunalenga kuuza usajili huu" "Tarehe 4 Agosti 2024 ndio kilele cha siku ya mwananchi katika uwanja wa Benjamin Mkapa. Tutakwenda kutangaza tunafungulia wapi na kampeni zetu zitagusa maeneo gani" - Ali Kamwe, Afisa habari wa klabu ya Yanga SC.0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 118 Views1