Does it concerns you? why stress on it?
-
6 Posts
-
2 Photos
-
0 Videos
-
Other
-
It's complicated
-
23/05/2002
-
Followed by 8 people
Recent Updates
-
Tatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tuTatizo lenu vijana mnaharibu kwanza ndo mnakuja kutushirikisha, yule binti kama angekua hana mimba ningekushauri uachane nae tu0 Comments 0 Shares 609 Views1
Please log in to like, share and comment! -
https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO*
Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300.
Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa.
Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi.
Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.https://www.instagram.com/p/DE1_jdII8l4/?igsh=dTBuM2ZlaGd2d2c3#MSUMBIJI: *DANIEL CHAPO AAPISHWA KUWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI LEO* Msumbiji imemuapisha Daniel Chapo kuwa Rais mpya wa taifa hilo leo Jumatano baada ya miezi kadhaa ya machafuko ya kisiasa kufuatia uchaguzi, ambapo kwa mujibu wa shirika la misaada linadai kuwa imesababisha vifo vya zaidi ya watu 300. Chapo ameahidi kwenye kiapo chake hii leo kwamba atatoa nguvu zake zote katika kulinda, kukuza na kuimarisha umoja wa kitaifa. Chapo, mwenye umri wa miaka 48, anapanua utawala wa chama cha Frelimo kwa miaka 50 katika nchi hii tajiri kwa gesi. Mgombea wa upinzani, Venancio Mondlane, anadai kuwa uchaguzi wa Oktoba ulighushiwa.0 Comments 0 Shares 1K Views1
-
Everything is changing. Day by day. So make the most of it now, before it all changes once again, because, in the near future, all of this is only going to be memories.Everything is changing. Day by day. So make the most of it now, before it all changes once again, because, in the near future, all of this is only going to be memories.0 Comments 0 Shares 782 Views1
-
-
-
https://www.instagram.com/p/C_ncQRcArpg/?igsh=OW0xNHhhNGtzczd2Football Fans on Instagram: "Neuer reaction said it all 🤯 No problem! Here’s the information about the goal scored by Inter Milan against Manuel Neuer in the 2007 UEFA Champions League: In the 2007 UEFA Champions League Round of 16, Inter Milan faced Schalke 04. During the first leg, which took place on February 21, 2007, Inter’s midfielder, Luis Figo, scored a memorable long-distance goal. The strike came from well outside the penalty area and beat Schalke’s goalkeeper, Manuel Neuer, who was relatively young at the time. This goal helped Inter secure a 2-0 victory in that match. The shot was notable for its precision and power, demonstrating Figo’s skill and experience. ⚽🌟"188K likes, 155 comments - goalsi on September 7, 2024: "Neuer reaction said it all 🤯 No problem! Here’s the information about the goal scored by Inter Milan against Manuel Neuer in the 2007 UEFA Champions League: In the 2007 UEFA Champions League Round of 16, Inter Milan faced Schalke 04. During the first leg, which took place on February 21, 2007, Inter’s midfielder, Luis Figo, scored a memorable long-distance goal. The strike came from well outside the penalty area and beat Schalke’s goalkeeper, Manuel Neuer, who was relatively young at the time. This goal helped Inter secure a 2-0 victory in that match. The shot was notable for its precision and power, demonstrating Figo’s skill and experience. ⚽🌟".0 Comments 0 Shares 727 Views1
More Stories