-
-
Mwanamuziki Mandojo auawa akidhaniwa mwizi
Habari kutoka mkoani Dodoma zinaeleza kuwa
Mwanamuziki wa Bongo Fleva,
Joseph Francis maarufu kwa jina la Mandojo amefariki duniani.
Taarifa ya awali zilizotolewa na mwanamuziki Domokaya ambaye pia waliwahi kuimba pamoja na mwingine Black Rhino zinasema Mandojo amefariki dunia akiwa njiani akipelekwa hospitalini baada ya kushambuliwa na kupigwa na watu waliodhani kuwa ni mwizi.
Wakati wa uhai wake Mandojo akiwa na Domokaya waliwahi kutamba na vibao kama
Nikupe Nini (2003), Dingi (2004) na Taswira (2005) ambayo walimshirikisha Inspekta Haroun.
#followme路 3 Comments 路1 Shares 路700 Views
5
-
-
-
Utalii wetu, Fahari yetu, Kombe letu #MountKilimanjaro
#AmazingTanzania
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Utalii wetu, Fahari yetu, Kombe letu馃弳馃ぉ #MountKilimanjaro #AmazingTanzania馃嚬馃嚳 #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko路 5 Comments 路0 Shares 路1K Views
15
-
Tanzanian giants Young Africans (Yanga) held a trophy parade in the streets of Dar Es Salaam.
Yanga won Tanzania Mainland Premier League (Ligi Kuu) title.
#socialpopTanzanian 馃嚬馃嚳 giants Young Africans (Yanga) held a trophy parade in the streets of Dar Es Salaam. Yanga won Tanzania Mainland Premier League (Ligi Kuu) title. #socialpop路 4 Comments 路0 Shares 路2K Views
14
-
-
-
More Stories