Fanya kazi kwa bidii , Fanya kazi kwa ukimya . Hakuna haja ya kutangaza mafanikio au hatua uliyofikia . Acha mafanikio yako yapige kelele na kuongea . Kumbuka , hata unapowasha moto hautoi sauti mpaka pale mwanga utakapo onekana .
#motivation
Fanya kazi kwa bidii , Fanya kazi kwa ukimya . Hakuna haja ya kutangaza mafanikio au hatua uliyofikia . Acha mafanikio yako yapige kelele na kuongea . Kumbuka , hata unapowasha moto hautoi sauti mpaka pale mwanga utakapo onekana . #motivation
Like
Love
5
1 Commenti 0 condivisioni 195 Views