Klabu ya Fenerbahce imefikia makubaliano na Kocha José Mourinho kwaajili ya kukinoa kikosi hicho.

Mourinho atasaini mkataba wa miaka miwili hadi Juni 2026 wenye kipengele cha kuongeza mwingine baadae.

#Sportsview
💥🩸Klabu ya Fenerbahce imefikia makubaliano na Kocha José Mourinho kwaajili ya kukinoa kikosi hicho. Mourinho atasaini mkataba wa miaka miwili hadi Juni 2026 wenye kipengele cha kuongeza mwingine baadae. #Sportsview
Like
Love
Haha
Yay
Angry
6
· 3 Comments ·0 Shares ·470 Views