Tafsiri_ya_Neno
Hivi umetakasika...?
Si uliomba moja...sa mbona unataka Sita....?
Maana;
Msaada unakikomo chake, kwanini unataka kubebwa kila siku/kupewa kila kitu.....?!
Kitendo cha kukupa "Moja",
nimekupa njia yako wewe kuzitafuta Million zingine....!!
ila unapotaka Million zingine toka kwangu/kuzitegemea, utajikuta unapoteza hata ile Moja niliyokupa.
Anaekufundisha kupanda Mti, ni Bora zaidi ya anaekupa Nazi.....!!
"Si uliomba Moja?"
nimekupa Njia,
"Sa, mbona unataka Sita...?"
yaani nikufanyie kila kitu.
Hivi umetakasika...?
Si uliomba moja...sa mbona unataka Sita....?
Maana;
Msaada unakikomo chake, kwanini unataka kubebwa kila siku/kupewa kila kitu.....?!
Kitendo cha kukupa "Moja",
nimekupa njia yako wewe kuzitafuta Million zingine....!!
ila unapotaka Million zingine toka kwangu/kuzitegemea, utajikuta unapoteza hata ile Moja niliyokupa.
Anaekufundisha kupanda Mti, ni Bora zaidi ya anaekupa Nazi.....!!
"Si uliomba Moja?"
nimekupa Njia,
"Sa, mbona unataka Sita...?"
yaani nikufanyie kila kitu.
Tafsiri_ya_Neno
Hivi umetakasika...?
Si uliomba moja...sa mbona unataka Sita....?
Maana;
Msaada unakikomo chake, kwanini unataka kubebwa kila siku/kupewa kila kitu.....?!
Kitendo cha kukupa "Moja",
nimekupa njia yako wewe kuzitafuta Million zingine....!!
ila unapotaka Million zingine toka kwangu/kuzitegemea, utajikuta unapoteza hata ile Moja niliyokupa.
Anaekufundisha kupanda Mti, ni Bora zaidi ya anaekupa Nazi.....!!
"Si uliomba Moja?"
nimekupa Njia,
"Sa, mbona unataka Sita...?"
yaani nikufanyie kila kitu.
