Tafsiri_ya_Neno
Hivi umetakasika...?
Si uliomba moja...sa mbona unataka Sita....?
Maana;
Msaada unakikomo chake, kwanini unataka kubebwa kila siku/kupewa kila kitu.....?!
Kitendo cha kukupa "Moja",
nimekupa njia yako wewe kuzitafuta Million zingine....!!
ila unapotaka Million zingine toka kwangu/kuzitegemea, utajikuta unapoteza hata ile Moja niliyokupa.
Anaekufundisha kupanda Mti, ni Bora zaidi ya anaekupa Nazi.....!!
"Si uliomba Moja?"
nimekupa Njia,
"Sa, mbona unataka Sita...?"
yaani nikufanyie kila kitu.
Tafsiri_ya_Neno Hivi umetakasika...? Si uliomba moja...sa mbona unataka Sita....? Maana; Msaada unakikomo chake, kwanini unataka kubebwa kila siku/kupewa kila kitu.....?! Kitendo cha kukupa "Moja", nimekupa njia yako wewe kuzitafuta Million zingine....!! ila unapotaka Million zingine toka kwangu/kuzitegemea, utajikuta unapoteza hata ile Moja niliyokupa. Anaekufundisha kupanda Mti, ni Bora zaidi ya anaekupa Nazi.....!! "Si uliomba Moja?" nimekupa Njia, "Sa, mbona unataka Sita...?" yaani nikufanyie kila kitu.
Like
2
· 2 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·65 Views