Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!!
Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!!
Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!!
Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!!
Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!!
Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!!
Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!!
Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
Maisha ni kama #pushup, yanaenda juu na kushuka #chini!! Mc chana ubebe #cup, sio kutwa nzima battle #umimi!! Yesu alikuwa #ndimi, mchungaji bora mwenye #uzima!! Hakujitia vitu #umimi, ni kama MC mwenye #heshima!! Ukweli humo kwenye #zaburi, jifunze sana acha #kiburi!! Fanya mambo #mazuri, kioo cha jamii uwe #kivuli!! Nakuja kama #emcee, mwenye ushauri wa #mafumbo!! Natoa hadi #salutee, kwa wale wanaopinga #Mkumbo!!
0 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue