• Online machine tool purchasing is the process of purchasing industrial equipment such as machining centers, grinders, milling machines, or lathes online as opposed to physical outlet dealers. Trustworthy websites allow manufacturers to compare prices, review machine specifications, and catch a glimpse of quality photos or videos prior to making a decision. Read more here about - https://machinespotter.com/blog/buy-machine-tools-online-best-deals-on-used-machining-centres-second-hand-machine-tools
    Online machine tool purchasing is the process of purchasing industrial equipment such as machining centers, grinders, milling machines, or lathes online as opposed to physical outlet dealers. Trustworthy websites allow manufacturers to compare prices, review machine specifications, and catch a glimpse of quality photos or videos prior to making a decision. Read more here about - https://machinespotter.com/blog/buy-machine-tools-online-best-deals-on-used-machining-centres-second-hand-machine-tools
    Buy Machine Tools Online with the Best Deals on Used Machinery
    machinespotter.com
    Read the blog to explore the website for the best deals on machine tools. Buy Machine tools online to update your workspace for seamless production.
    0 Commentaires ·0 Parts ·102 Vue
  • Jini ni mchezaji mzuri,miguu yake ina shabaha haswaa,kwenye ubora wake anaweza kuamuwa mechi yoyote Ila kusema ukweli Msimu huu bado sijamuona Jini.

    Yuko Down sana,fitness Yake bado Siyo nzuri,ile confidence ya ku-risk mbele ya goli iko chini sana hata work rate Yake imepungua.

    Mbaya zaidi Fadlu humwambii chochote kwa Jini Kwani anaamini huyu ndo Süper star wa Simba hivyo hata acheze vibaya atabaki uwanjani….kwa kifupi Jini wa Fadlu ni untouchable

    Hans Rafael
    Jini ni mchezaji mzuri,miguu yake ina shabaha haswaa,kwenye ubora wake anaweza kuamuwa mechi yoyote Ila kusema ukweli Msimu huu bado sijamuona Jini. Yuko Down sana,fitness Yake bado Siyo nzuri,ile confidence ya ku-risk mbele ya goli iko chini sana hata work rate Yake imepungua. Mbaya zaidi Fadlu humwambii chochote kwa Jini Kwani anaamini huyu ndo Süper star wa Simba hivyo hata acheze vibaya atabaki uwanjani….kwa kifupi Jini wa Fadlu ni untouchable 🖐️ Hans Rafael
    0 Commentaires ·0 Parts ·128 Vue
  • Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie

    Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG.

    Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao.
    Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana.

    Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis

    Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5.
    Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4.
    Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG. Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana. Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5. Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4. Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    0 Commentaires ·0 Parts ·190 Vue
  • TUJIKUMBUSHE KIDOGO

    Sebastian Coates

    Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo.

    Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi.

    Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers.

    Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12.

    Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata.

    Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.
    👀TUJIKUMBUSHE KIDOGO 👀Sebastian Coates 👉Sebastian Coates alisajiliwa na Liverpool kutoka Nacional mwezi Agosti 2011 baada ya kupigiwa kura kama mchezaji bora chipukizi kwenye Copa America ya mwaka huo. 👉Akiwa na urefu wa futi 6 na inchi 6, raia huyo wa Uruguay aliwasili akiwa na sifa ya kuwa na uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu — pia akiwa hatari katika ulinzi na mashambulizi. 👉Alicheza mechi 12 katika msimu wake wa kwanza ndani ya Liverpool, tukio la kukumbukwa likiwa bao la kuvutia alilofunga kwa bicycle kick dhidi ya Queens Park Rangers. 👉Katika msimu wa 2012–13, msimu wa kwanza wa Brendan Rodgers kama kocha, Coates alicheza tena mechi 12. 👉Hata hivyo, matumaini ya kujikita kikosini chini ya kocha wa kipindi hicho, Rodgers yalizimwa na jeraha lililomharibia msimu uliofuata. 👉Baadaye alitolewa kwa mkopo kwenda Sunderland msimu wa 2014–15, na hatimaye akajiunga nao kwa mkataba wa kudumu mwezi Julai 2015.
    0 Commentaires ·0 Parts ·370 Vue
  • Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia

    AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza.

    Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan.

    Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023.

    Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League.

    Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.
    👀Divock Origi amekwama AC Milan baada ya kukataa kuvunja mkataba huku masuala ya kodi yakimzuia kuondoka nchini Italia 👉AC Milan na Origi wameshindwa kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba, na sasa mshambuliaji huyo ataendelea kusalia San Siro licha ya kutokuwa sehemu ya kikosi cha kwanza. 👉Mshindi wa Ligi ya Mabingwa, Divock Origi, amekataa kuvunjiwa mkataba wake ndani ya Ac Milan licha ya kucheza msimu mzima na timu ya U23 ya Ac Milan. 👉Uamuzi huu unakuja licha ya Mbelgiji huyo kutocheza mechi yoyote ya ushindani na kikosi cha wakubwa cha Milan tangu mwaka 2023. 👉Amebakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake, na atalazimika kukaa nje msimu mwingine ikiwa hatakubaliana na klabu ya Ac Milan kuvunja mkataba huo. 👉Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 alifunga magoli mawili tu msimu wa 2022–23 kabla ya kutolewa kwa mkopo kwenda Nottingham Forest msimu wa 2023–24, ambako alifunga bao moja pekee katika mechi 22 — na bao hilo lilikuja kwenye FA Cup, si Premier League. 👉Hajacheza mechi ya kikosi cha kwanza kwa miezi 17.
    0 Commentaires ·0 Parts ·292 Vue
  • Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m.

    Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️

    Source The Touchline T

    #SportsElite
    🚨 Fahamu Barcelona wako tayari kumuuza Fermin Lopez ila Si chini ya ada ya €100m. Chelsea FC leo walitoa ofa ya £50m pamoja na nyongeza lakini Barcelona wameona ni ofa ndogo kwa Lopez. ❎️🔵 Source The Touchline T #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·263 Vue
  • SIKU YA MWANANCHI

    #EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya.

    #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC

    #SportsElite
    SIKU YA MWANANCHI 🚨#EXCLUSIVE;Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki siku ya mwananchi tarehe 12.9.2025 dhidi ya timu ya BANDARI FC kutoka nchini Kenya. #BandariFc #SikuYaMwananchi #YangaSC #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·635 Vue


  • Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo cha Bild cha nchini Ujerumani, Chelsea imekuwa ikihusishwa kuwania saini ya beki raia wa Ecuador, taifa wanalotokea Moises Caicedo na Kendry Paez, Piero Hincapie.

    Nyota huyo anayecheza nafasi ya beki alimwaga machozi wakati klabu yake ya Bayer Leverkusen ilipofungwa 2-1 jumamosi ya wiki iliyoisha na kitendo hicho kimehusishwa kama ishara ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu mojawapo huku Chelsea ikitajwa kwenye orodha.

    Dirisha la usajili limebakiza siku 7 tu kabla ya kufungwa.
    #d1905_usajili

    #SportsElite
    🚨🚨 Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa chanzo cha Bild cha nchini Ujerumani, Chelsea imekuwa ikihusishwa kuwania saini ya beki raia wa Ecuador, taifa wanalotokea Moises Caicedo na Kendry Paez, Piero Hincapie. Nyota huyo anayecheza nafasi ya beki alimwaga machozi wakati klabu yake ya Bayer Leverkusen ilipofungwa 2-1 jumamosi ya wiki iliyoisha na kitendo hicho kimehusishwa kama ishara ya kuondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu mojawapo huku Chelsea ikitajwa kwenye orodha. Dirisha la usajili limebakiza siku 7 tu kabla ya kufungwa. #d1905_usajili #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·356 Vue
  • Liverpool FC inaendelea kuisisitiza Real Madrid haitaweza kumuuza beki wake Ibrahima Konaté chini ya kiasi cha €50M.

    (Source: AS)

    #SportsElite
    🚨 Liverpool FC inaendelea kuisisitiza Real Madrid haitaweza kumuuza beki wake Ibrahima Konaté chini ya kiasi cha €50M. (Source: AS) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·222 Vue
  • Nahodha wa kwanza Mweusi wa Athletic Club ameshinda mechi yake ya kwanza ya La Liga!

    Jumapili, Bilbao ilipiga Sevilla 3-2 chini ya Uongozi wa huyu mwamba.

    Inaki Williams, Dogo kutoka Ghana...Onto the Next One!

    #SportsElite
    🖤🇬🇭🇪🇸Nahodha wa kwanza Mweusi wa Athletic Club ameshinda mechi yake ya kwanza ya La Liga! Jumapili, Bilbao ilipiga Sevilla 3-2 chini ya Uongozi wa huyu mwamba. Inaki Williams, Dogo kutoka Ghana...Onto the Next One! #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·144 Vue
  • Mchezo wa kirafiki kati ya Simba Sc dhidi ya Al-Zulfi SFC ya nchini Saudia umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣.

    Goli la Simba limefungwa mapema kipindi cha kwanza na kiungo Jean Ahoua kwa faulo ya moja kwa moja.

    #SportsElite
    🚨🚨Mchezo wa kirafiki kati ya Simba Sc dhidi ya Al-Zulfi SFC ya nchini Saudia umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣. Goli la Simba limefungwa mapema kipindi cha kwanza na kiungo Jean Ahoua kwa faulo ya moja kwa moja. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·248 Vue
  • Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita.

    Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana.

    Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita. Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana. Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    0 Commentaires ·0 Parts ·652 Vue
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·672 Vue
  • RWANDA,

    #EXCLUSIVE;Beki Frank Assinki amejumuishwa kwenye msafara wa Wachezaji ambao wameondoka leo kwenda nchini Rwanda.

    #SportsElite
    RWANDA,🇷🇼 🚨#EXCLUSIVE;Beki Frank Assinki amejumuishwa kwenye msafara wa Wachezaji ambao wameondoka leo kwenda nchini Rwanda. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·350 Vue
  • Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi.

    Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano ya kumsajili beki Jorrel Hato kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 40 akitokea Ajax Amsterdam ya Nchini Uholanzi. Hato (19) raia wa Uholanzi ambaye anamudu kucheza kama beki wa kati na beki wa kushoto amekubali kusaini mkataba wa miaka 7 utakaombakisha klabuni hapo mpana Juni 2032. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·398 Vue
  • Rushine De Reuck Kitasa kipya cha Simba,jamaa yuko aggressive,muda wote ananusa hatari na kufika kwenye matukio ili kufanya interception,tackling,clearance n.k.

    Rushine De Reuck Ni dominant kwenye mipira ya juu na chini…jamaa akiwa kwenye siku zake ni ngumu kwa mshambuliaji kukabiliana nae.

    Yote kwa yote ukimtazama akiwa na mali mguuni uta-enjoy…jamaa ni ball-playing defender

    Wana simba hapa mmepata beki,jamaa ana uzoefu mkubwa pia ana uwezo wa kucheza maeneo yote ya nyuma

    Super Signing

    #SportsElite
    🚨🚨Rushine De Reuck Kitasa kipya cha Simba,jamaa yuko aggressive,muda wote ananusa hatari na kufika kwenye matukio ili kufanya interception,tackling,clearance n.k. Rushine De Reuck Ni dominant kwenye mipira ya juu na chini…jamaa akiwa kwenye siku zake ni ngumu kwa mshambuliaji kukabiliana nae. Yote kwa yote ukimtazama akiwa na mali mguuni uta-enjoy…jamaa ni ball-playing defender🙌 Wana simba hapa mmepata beki,jamaa ana uzoefu mkubwa pia ana uwezo wa kucheza maeneo yote ya nyuma🖐️ Super Signing🔥 #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·497 Vue
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji, Lassine Kouma (21) raia wa Mali akitokea klabu ya Stade Malien ya Nchini kwao na atavaa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Khalid Aucho.

    #SportsElite
    📝 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mshambuliaji, Lassine Kouma (21) raia wa Mali akitokea klabu ya Stade Malien ya Nchini kwao na atavaa jezi namba 8 iliyokuwa ikivaliwa na Khalid Aucho. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·362 Vue
  • JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.

    Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.

    Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.


    #SportsElite
    🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·487 Vue
  • Ac Milan wamekamilisha usajili wa Pervis Estupinan (27) kutoka Brighton kama mbadala wa Theo Hernandez aliyetimkia Al hilal ya nchini Saudia.

    Uhamisho wa beki huyo wa pembeni umegharimu kiasi cha €17M pamoja na nyongeza ya €2M ili kukamilisha dili hilo.

    #SportsElite
    Ac Milan wamekamilisha usajili wa Pervis Estupinan (27) kutoka Brighton kama mbadala wa Theo Hernandez aliyetimkia Al hilal ya nchini Saudia. Uhamisho wa beki huyo wa pembeni umegharimu kiasi cha €17M pamoja na nyongeza ya €2M ili kukamilisha dili hilo. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·266 Vue
  • | BREAKING

    AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza.

    Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING AS Roma ya nchini Italy imefikia makubaliano ya kumnunua beki wa pembeni wa flamengo, Wesley kwa dau la €25M pamoja na nyongeza. Kila kitu kipo tayari na mchezaji anaitaka AS Roma pekee, Flamengo wanafanya jitihada za kutafuta mbadala wa Wesley ili wamluhusu rasmi akajiunge na Roma. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·420 Vue
Plus de résultats