Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand mwenye asili ya Nigeria , Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao.
Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.
Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.
Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.
Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.
Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand 🇳🇿 mwenye asili ya Nigeria 🇳🇬, Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao.
Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.
Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.
Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
0 Comments
·0 Shares
·6 Views