• #PART4

    Wakati hayo yakiendelea Congo, kule Rwanda, kikundi cha waasi cha RPF chini ya Paul Kagame kilifanikiwa kuyashinda majeshi ya serikali na kuchukua dola baada ya yale mauaji ya kimbari. Askari wa jeshi la Rwanda, ambao wengi walikuwa Wahutu (Itarahamwe), walikimbilia Congo. Walipofika kule, wakaanzisha kikundi cha waasi cha kupigana na serikali ya Rwanda kilichoitwa FDLR. Kikundi hicho kikaungwa mkono na serikali ya Mobutu. Hivyo Mobutu akawa anawapa silaha wapigane na serikali ya Kagame ili kurudisha utawala wa Wahutu madarakani.

    Wakati Mobutu akisaidia waasi kuangusha serikali ya Rwanda, kulikia na vikundi vya waasi zaidi ya 40 vinapigana na jeshi lake. Moja kati ya vikundi hivyo ni Alliance of Democratic Forces for the Liberation (AFDL) kilichokuwa kinaongozwa na Mzee Laurent Kabila, ambaye ni Mluba wa Katanga, kusini mashariki mwa Congo karibu na Ziwa Tanganyika.

    Baada ya miaka karibu 30 ya kupigana msituni, hatimaye nguvu zikapungua. Akawa haendi tena mstari wa mbele. Mara kwa mara alikuja kupumzika nyumbani kwake Msasani jijini DSM, akimuachia Kanali Reuben Um-Nyobe kuongoza kikosi msituni.

    Mobutu alipoamua kuwasaidia askari wa FDLR (Intarahamwe) kupigana na serikali ya Rwanda, Kagame nae akaamua kumuunga mkono Laurent Kabila na kikundi chake cha AFDL ili wamng'oe Mobutu. Yaani, serikali ya Rwanda ikaunga mkono waasi wa Congo kwa sababu serikali ya Congo inaunga mkono waasi wa Rwanda. ‘Scratch my back, and I will scratch yours’.

    Wakati huo, inadaiwa serikali ya Rwanda ilikuwa imepata silaha nyingi kutoka Ufaransa na UK, kwa hiyo Kagame alijipima akaona ana nguvu za kupigana na Mobutu. Wakati huo Kagame alikuwa Makamu wa Rais chini ya Pasteur Bizimungu, lakini yeye ndiye aliyeongoza kila kitu. Sababu za kumuunga mkono Kabila;
    1. Ethnicity (Waluba na Watutsi wanaelewana)
    2. Mobutu kuunga mkono FDLR (Intarahamwe)
    3. Uwepo wa rasilimali nyingi sana eneo la Kivu, hasa madini.
    (Malisa GJ)

    #PART4 Wakati hayo yakiendelea Congo, kule Rwanda, kikundi cha waasi cha RPF chini ya Paul Kagame kilifanikiwa kuyashinda majeshi ya serikali na kuchukua dola baada ya yale mauaji ya kimbari. Askari wa jeshi la Rwanda, ambao wengi walikuwa Wahutu (Itarahamwe), walikimbilia Congo. Walipofika kule, wakaanzisha kikundi cha waasi cha kupigana na serikali ya Rwanda kilichoitwa FDLR. Kikundi hicho kikaungwa mkono na serikali ya Mobutu. Hivyo Mobutu akawa anawapa silaha wapigane na serikali ya Kagame ili kurudisha utawala wa Wahutu madarakani. Wakati Mobutu akisaidia waasi kuangusha serikali ya Rwanda, kulikia na vikundi vya waasi zaidi ya 40 vinapigana na jeshi lake. Moja kati ya vikundi hivyo ni Alliance of Democratic Forces for the Liberation (AFDL) kilichokuwa kinaongozwa na Mzee Laurent Kabila, ambaye ni Mluba wa Katanga, kusini mashariki mwa Congo karibu na Ziwa Tanganyika. Baada ya miaka karibu 30 ya kupigana msituni, hatimaye nguvu zikapungua. Akawa haendi tena mstari wa mbele. Mara kwa mara alikuja kupumzika nyumbani kwake Msasani jijini DSM, akimuachia Kanali Reuben Um-Nyobe kuongoza kikosi msituni. Mobutu alipoamua kuwasaidia askari wa FDLR (Intarahamwe) kupigana na serikali ya Rwanda, Kagame nae akaamua kumuunga mkono Laurent Kabila na kikundi chake cha AFDL ili wamng'oe Mobutu. Yaani, serikali ya Rwanda ikaunga mkono waasi wa Congo kwa sababu serikali ya Congo inaunga mkono waasi wa Rwanda. ‘Scratch my back, and I will scratch yours’. Wakati huo, inadaiwa serikali ya Rwanda ilikuwa imepata silaha nyingi kutoka Ufaransa na UK, kwa hiyo Kagame alijipima akaona ana nguvu za kupigana na Mobutu. Wakati huo Kagame alikuwa Makamu wa Rais chini ya Pasteur Bizimungu, lakini yeye ndiye aliyeongoza kila kitu. Sababu za kumuunga mkono Kabila; 1. Ethnicity (Waluba na Watutsi wanaelewana) 2. Mobutu kuunga mkono FDLR (Intarahamwe) 3. Uwepo wa rasilimali nyingi sana eneo la Kivu, hasa madini. (Malisa GJ)
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·13 Visualizações
  • "Mapema leo katika kazi jijini Dodoma ambapo nchi yetu imeandika historia kwa kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023, pamoja na mitaala iliyoboreshwa katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu.

    Uamuzi huu wa kihistoria wa kuboresha sera na muundo wa elimu yetu unakusudia kulipa Taifa letu vijana wenye elimu bora zaidi, wanaojiamini zaidi, na wenye nyenzo stahiki kushindana kikanda na kimataifa. Kazi ya msingi ya ujenzi wa miundombinu inayobeba utekelezaji wa sera na mabadiliko haya inaendelea, ambapo katika kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024 tumejenga shule mpya za msingi 1,649, shule mpya za sekondari 1,042, vyuo 64 vya ufundi stadi (VETA) katika wilaya 64 ambazo awali hazikuwa navyo.

    Nimeelekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Fedha, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya Mipango na Uwekezaji kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mabadiliko haya ili yaweze kuleta manufaa tunayokusudia. Utekelezaji huu uende sambamba na kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini ili kuipa hadhi inayostahili kama mama wa taaluma zote duniani." Dk Samia Suluhu Hassan, rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
    "Mapema leo katika kazi jijini Dodoma ambapo nchi yetu imeandika historia kwa kuzindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023, pamoja na mitaala iliyoboreshwa katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu. Uamuzi huu wa kihistoria wa kuboresha sera na muundo wa elimu yetu unakusudia kulipa Taifa letu vijana wenye elimu bora zaidi, wanaojiamini zaidi, na wenye nyenzo stahiki kushindana kikanda na kimataifa. Kazi ya msingi ya ujenzi wa miundombinu inayobeba utekelezaji wa sera na mabadiliko haya inaendelea, ambapo katika kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024 tumejenga shule mpya za msingi 1,649, shule mpya za sekondari 1,042, vyuo 64 vya ufundi stadi (VETA) katika wilaya 64 ambazo awali hazikuwa navyo. Nimeelekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wizara ya Fedha, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya Mipango na Uwekezaji kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mabadiliko haya ili yaweze kuleta manufaa tunayokusudia. Utekelezaji huu uende sambamba na kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini ili kuipa hadhi inayostahili kama mama wa taaluma zote duniani." Dk Samia Suluhu Hassan, rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·19 Visualizações
  • Kama utafuatilia kwa undani kinachoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , lazima utagundua kuwa Nchi ya Kongo ilikua na kila sababu kuweza kudhibiti hali ya Mashariki mwa Taifa hilo ila kutokana na mipango mibovu na kutegemea misaada na uthaifu wa Viongozi wa Nchi akiwemo Raisi Félix Tshisekedi ndio maana waliodharauliwa sasa wanasonga mbele kwa namna isiyo ya kawaida.

    Toka Rais Tshisekedi aingia madarakani mwaka 2018 ni mambo yapi ya kimkakati amefanya ili kuhakikisha anakomesha makundi ya uasi mashariki mwa Kongo utabaini hakuna, yeye anaongoza tu akiwa Kinshasa ukanda wa mashariki ni kama amewasusa hali imezidi kuwa mbaya. Hajafanikiwa kubadili upepo kwa namna yoyote sio kijeshi wala kimazungumzo.

    Mojawapo ya jukumu kuu la Rais wa Nchi yoyote Duniani ni kuhakikisha usalama na amani ya Raia anaowaongoza, sasa Tshisekedi zaidi ya miaka saba (7) sasa yupo madarakani huku Raia wakiendelea kuteswa na vita Mashariki mwa Nchi hiyo huku yeye akiwa hana jipya alilofanya kama Rais kuwanusuru Raia wake, sasa hapo mnatarajia nini kama sio kuvamiwa?

    Kilichotokea na kinachoelea kwa sasa hivi Nchini Kongo, Viongozi Wakuu wanapaswa kujilaumu wenyewe, maadui zao wanatumia udhaifu wa kimkakati na kufanikisha ajenda zao.Tshisekedi alipaswa baada ya kutwaa Urais tu angehakikisha nguvu kubwa na mipango anaelekeza Mashariki mwa Nchi kwa sababu kule ndipo kwenye changamoto kubwa Nchini Kongo ila hadi sasa anatoa hotuba za kuilaumu Rwanda tu, yeye hajaja na mpango kwamba amejipanga vipi kukomesha uasi eneo hilo la mashariki na kuweka amani ya kudumu.

    Inashauriwa kabla ya kutaka uongozi wa juu wa Nchi, jipime kwanza. Je, wanafaa? utaweza majukumu? au unafikiri kuongoza Nchi ni rahisi tu kama kumsukuma Mlevi kwenye shimo!

    Kwa kumalizia, kama Kongo ingekuwa na uongozi thabiti, wenye maono, nguvu, mipango na mikakati madhubuti kupitia tu Jeshi la ndani ilikua na uwezo wa kukomesha Maadui wote. Mipaka ya Kongo inaimgilika kama maji ya kunywa, misitu kama yote haina uangalizi au ulinzi wowote ule. Tuendelee kuiombea Nchi ya Kongo ipate kwanza Viongozi bora na sio bora Viongozi.

    Kama utafuatilia kwa undani kinachoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, lazima utagundua kuwa Nchi ya Kongo ilikua na kila sababu kuweza kudhibiti hali ya Mashariki mwa Taifa hilo ila kutokana na mipango mibovu na kutegemea misaada na uthaifu wa Viongozi wa Nchi akiwemo Raisi Félix Tshisekedi ndio maana waliodharauliwa sasa wanasonga mbele kwa namna isiyo ya kawaida. Toka Rais Tshisekedi aingia madarakani mwaka 2018 ni mambo yapi ya kimkakati amefanya ili kuhakikisha anakomesha makundi ya uasi mashariki mwa Kongo utabaini hakuna, yeye anaongoza tu akiwa Kinshasa ukanda wa mashariki ni kama amewasusa hali imezidi kuwa mbaya. Hajafanikiwa kubadili upepo kwa namna yoyote sio kijeshi wala kimazungumzo. Mojawapo ya jukumu kuu la Rais wa Nchi yoyote Duniani ni kuhakikisha usalama na amani ya Raia anaowaongoza, sasa Tshisekedi zaidi ya miaka saba (7) sasa yupo madarakani huku Raia wakiendelea kuteswa na vita Mashariki mwa Nchi hiyo huku yeye akiwa hana jipya alilofanya kama Rais kuwanusuru Raia wake, sasa hapo mnatarajia nini kama sio kuvamiwa? Kilichotokea na kinachoelea kwa sasa hivi Nchini Kongo, Viongozi Wakuu wanapaswa kujilaumu wenyewe, maadui zao wanatumia udhaifu wa kimkakati na kufanikisha ajenda zao.Tshisekedi alipaswa baada ya kutwaa Urais tu angehakikisha nguvu kubwa na mipango anaelekeza Mashariki mwa Nchi kwa sababu kule ndipo kwenye changamoto kubwa Nchini Kongo ila hadi sasa anatoa hotuba za kuilaumu Rwanda tu, yeye hajaja na mpango kwamba amejipanga vipi kukomesha uasi eneo hilo la mashariki na kuweka amani ya kudumu. Inashauriwa kabla ya kutaka uongozi wa juu wa Nchi, jipime kwanza. Je, wanafaa? utaweza majukumu? au unafikiri kuongoza Nchi ni rahisi tu kama kumsukuma Mlevi kwenye shimo! Kwa kumalizia, kama Kongo ingekuwa na uongozi thabiti, wenye maono, nguvu, mipango na mikakati madhubuti kupitia tu Jeshi la ndani ilikua na uwezo wa kukomesha Maadui wote. Mipaka ya Kongo inaimgilika kama maji ya kunywa, misitu kama yote haina uangalizi au ulinzi wowote ule. Tuendelee kuiombea Nchi ya Kongo ipate kwanza Viongozi bora na sio bora Viongozi.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·114 Visualizações
  • Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la Wanachama wa Jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe , Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa Jumuiya hiyo ulioitishwa Jijini Harare, Zimbabwe kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    Hali ya usalama ilianza kuyumba Nchini Kongo baada ya kundi la Waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa Kongo ikiwemo Mji wa Goma. Kwa mujibu wa Mnangagwa, suala la ulinzi wa Raia Nchini humo si la hiari, bali la kisheria kwa mujibu wa makubaliano yaliyosainiwa na Nchi Wanachama wa SADC.

    “Ni kwa bahati mbaya nasema kwamba tangu mkutano wetu wa mwisho hali ya amani imetetereka nchini DRC. Mashambulizi ya M23 yamegharimu maisha ya wanajeshi wetu wanaolinda amani DRC chini ya SAMIDRC na kuwaacha wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya,” - Mnangagwa.

    Amempongeza Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua hatua za haraka za kuitisha mkutano wa dharura na Wakuu wa Nchi na Serikali kupitia Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Troika).

    Mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) umesema lengo la Wanachama wa Jumuiya hiyo ni kuona amani inarejea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Zimbabwe 🇿🇼, Emmerson Mnangagwa ambaye ni Mwenyekiti wa SADC wakati wa mkutano wa dharura wa Jumuiya hiyo ulioitishwa Jijini Harare, Zimbabwe kwa lengo la kujadili kutetereka kwa amani Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hali ya usalama ilianza kuyumba Nchini Kongo baada ya kundi la Waasi wa M23 kuanza uvamizi na kuyashikilia maeneo ya mashariki mwa Kongo ikiwemo Mji wa Goma. Kwa mujibu wa Mnangagwa, suala la ulinzi wa Raia Nchini humo si la hiari, bali la kisheria kwa mujibu wa makubaliano yaliyosainiwa na Nchi Wanachama wa SADC. “Ni kwa bahati mbaya nasema kwamba tangu mkutano wetu wa mwisho hali ya amani imetetereka nchini DRC. Mashambulizi ya M23 yamegharimu maisha ya wanajeshi wetu wanaolinda amani DRC chini ya SAMIDRC na kuwaacha wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya,” - Mnangagwa. Amempongeza Rais wa Tanzania 🇹🇿, Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua hatua za haraka za kuitisha mkutano wa dharura na Wakuu wa Nchi na Serikali kupitia Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Troika).
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·103 Visualizações
  • Mkutano wa Kilele wa Marais wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika hivi karibuni umemtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, kukaa meza moja na Waasi wa M23 kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja ili kutafuta suluhu ya amani katika taifa hilo.

    Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa Viongozi hao walikutana Januari 29, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, William Ruto, kujadili hali ya usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Miongoni mwa makubaliano ya mkutano huo ni pendekezo la Rais Tshisekedi kushiriki mazungumzo na kundi la M23. Kadhalika, Viongozi hao walikubaliana kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inapaswa kuitisha mkutano wa dharura na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa mgogoro huo.

    Museveni aliambatanisha taarifa hiyo na orodha ya Viongozi waliohudhuria mkutano huo, wakiwemo Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Somalia Hassan Mohamud, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, Rais wa Rwanda Paul Kagame, na mwenyeji wao, Rais wa Uganda Yoweri Museveni.

    Mkutano wa Kilele wa Marais wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uliofanyika hivi karibuni umemtaka Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, kukaa meza moja na Waasi wa M23 kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja ili kutafuta suluhu ya amani katika taifa hilo. Taarifa iliyotolewa na Mjumbe wa Mkutano huo, ambaye pia ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (Twitter), ilieleza kuwa Viongozi hao walikutana Januari 29, chini ya Uenyekiti wa Rais wa Kenya, William Ruto, kujadili hali ya usalama Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Miongoni mwa makubaliano ya mkutano huo ni pendekezo la Rais Tshisekedi kushiriki mazungumzo na kundi la M23. Kadhalika, Viongozi hao walikubaliana kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) inapaswa kuitisha mkutano wa dharura na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ili kutafuta suluhisho la kudumu kwa mgogoro huo. Museveni aliambatanisha taarifa hiyo na orodha ya Viongozi waliohudhuria mkutano huo, wakiwemo Rais wa Kenya William Ruto, Rais wa Somalia Hassan Mohamud, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir, Rais wa Rwanda Paul Kagame, na mwenyeji wao, Rais wa Uganda Yoweri Museveni.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·136 Visualizações
  • Undani wa bifu kati Rais wa DR Congo , Félix Tshisekedi na Kiongozi Mkuu wa Waasi wa M23, Corneille
    Nanga.

    Anaitwa Jenerali Corneille Nanga ambaye ni Kamanda Mkuu (Rais) wa makundi yote ya Waasi yanayopigana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo likiwemo kundi la M23. Muungano huo unaitwa Congo River Allience na yeye ndio Kiongozi Mkuu na amesema malengo yao ni kuitwaa DR Congo yote mpaka Mji Mkuu Kinshasa.

    Muungano wa makundi hayo aliutangaza rasmi mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Corneille Nanga alikuwa Mtumishi wa ngazi za juu ndani ya Serikali ya DR Congo kwa miaka mingi akifanya kazi katika programu mbalimbali za umoja wa mataifa. Mwaka 2015 mpaka 2021 alikuwa Mkuu wa tume ya Taifa ya uchaguzi Nchini humo CENI (Commission Electoral Ingependence) na ndiye aliyemtangaza Rais Felix Tshisekedi mshindi wa urais katika uchaguzi mwaka 2018.

    Nanga alitofautiana na Mteuzi wake Rais mstaafu Joseph Kabila na Rais mpya Félix Tshisekedi kwamba kuna makubaliano walikubaliana katika uchaguzi wa 2018 ambapo anadai alichakachua uchaguzi kama Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi CENI na kumpa ushindi Tshisekedi ila baada ya ushindi Tshisekedi akageuka makubaliano yao. Tuhuma hizo Tshisekedi alizikanusha na kusema alishinda kihalali.

    Baada ya mvutano mkali hatimaye Nanga alikimbia Nchi na mwaka 2023 katika mkutano wake uhamishoni Jijini Nairobi alitangaza Muungano wa makundi (17) ya Waasi wote wanaopigana Mashariki mwa DR Congo ikiwemo kundi la M23 na Muungano huo ukapewa jina la Congo River Allience na yeye kuwa ndio Kiongozi Mkuu mkuu wa makundi yote.

    Wakati Nanga akiwa uhamishoni mahakama Kuu Jijini Kinshasa ilimuhukumu adhabu ya kifo akiwa hayupo mahakamani kwa kosa la uhaini. Kiufupi uasi wa DR Congo pakubwa umechangiwa na Uongozi mbovu, ukifuatilia mizizi ya mgogoro utagundua pia kuna mkataba Serikali ya Rais Laurent Kabila iliingia na jamii ya Watutsi Mashariki mwa DR Congo wakati wa kumpindua Rais wa zamani wa Nchi hiyo Mobutu Seseseko lakini baadaye akawageuka baada ya miaka mingi ya mvutano ndio ikaja kuundwa M23.

    Moja makubaliano yao yalikua ni Jamii hiyo ya Watutsi kumsaidia Rais wa zamani Laurent Désiré Kabila (Baba Mzazi wa Joseph Kabila) kumpindua Mobutu kisa Watutsi wapewe sehemu ya Mkoa wa Sud-Kivu na wawe Raia wa DR Congo baada ya kuonekana kukataliwa na Paul Kagame kwa madai kwamba ni mmojawapo ya makundi yaliyohusika na mauwaji ya kimbari mwaka 1994.

    Kundi hili la Waasi la M23, jana lilikanusha kwamba linaungwa mkono na Serikali ya Rwanda (Paul Kagame). Baadaye kwenye mkutano wa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Paul Kagame alisema kuwa Waasi wanaopigana Nchini DR Congo, wote ni Wakongo (Wakongomani) huku akimnyooshea kidole Félix Tshisekedi kuwa anashindwa kusema hadharani kiini halisi cha mgogoro uliopo kati ya Waasi hao na DR Congo ambapo Kagame alidai kuwa kuna mikataba yao ambao hataki kuzungumzwa na Serikali ya DR Congo akiwemo Tshisekedi na wakijificha kwenye kichaka cha kwamba Rwanda ndio mfadhili wa Waasi hao.

    Undani wa bifu kati Rais wa DR Congo 🇨🇩, Félix Tshisekedi na Kiongozi Mkuu wa Waasi wa M23, Corneille Nanga. Anaitwa Jenerali Corneille Nanga ambaye ni Kamanda Mkuu (Rais) wa makundi yote ya Waasi yanayopigana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo likiwemo kundi la M23. Muungano huo unaitwa Congo River Allience na yeye ndio Kiongozi Mkuu na amesema malengo yao ni kuitwaa DR Congo yote mpaka Mji Mkuu Kinshasa. Muungano wa makundi hayo aliutangaza rasmi mwaka 2023. Ikumbukwe kwamba Corneille Nanga alikuwa Mtumishi wa ngazi za juu ndani ya Serikali ya DR Congo kwa miaka mingi akifanya kazi katika programu mbalimbali za umoja wa mataifa. Mwaka 2015 mpaka 2021 alikuwa Mkuu wa tume ya Taifa ya uchaguzi Nchini humo CENI (Commission Electoral Ingependence) na ndiye aliyemtangaza Rais Felix Tshisekedi mshindi wa urais katika uchaguzi mwaka 2018. Nanga alitofautiana na Mteuzi wake Rais mstaafu Joseph Kabila na Rais mpya Félix Tshisekedi kwamba kuna makubaliano walikubaliana katika uchaguzi wa 2018 ambapo anadai alichakachua uchaguzi kama Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi CENI na kumpa ushindi Tshisekedi ila baada ya ushindi Tshisekedi akageuka makubaliano yao. Tuhuma hizo Tshisekedi alizikanusha na kusema alishinda kihalali. Baada ya mvutano mkali hatimaye Nanga alikimbia Nchi na mwaka 2023 katika mkutano wake uhamishoni Jijini Nairobi alitangaza Muungano wa makundi (17) ya Waasi wote wanaopigana Mashariki mwa DR Congo ikiwemo kundi la M23 na Muungano huo ukapewa jina la Congo River Allience na yeye kuwa ndio Kiongozi Mkuu mkuu wa makundi yote. Wakati Nanga akiwa uhamishoni mahakama Kuu Jijini Kinshasa ilimuhukumu adhabu ya kifo akiwa hayupo mahakamani kwa kosa la uhaini. Kiufupi uasi wa DR Congo pakubwa umechangiwa na Uongozi mbovu, ukifuatilia mizizi ya mgogoro utagundua pia kuna mkataba Serikali ya Rais Laurent Kabila iliingia na jamii ya Watutsi Mashariki mwa DR Congo wakati wa kumpindua Rais wa zamani wa Nchi hiyo Mobutu Seseseko lakini baadaye akawageuka baada ya miaka mingi ya mvutano ndio ikaja kuundwa M23. Moja makubaliano yao yalikua ni Jamii hiyo ya Watutsi kumsaidia Rais wa zamani Laurent Désiré Kabila (Baba Mzazi wa Joseph Kabila) kumpindua Mobutu kisa Watutsi wapewe sehemu ya Mkoa wa Sud-Kivu na wawe Raia wa DR Congo baada ya kuonekana kukataliwa na Paul Kagame kwa madai kwamba ni mmojawapo ya makundi yaliyohusika na mauwaji ya kimbari mwaka 1994. Kundi hili la Waasi la M23, jana lilikanusha kwamba linaungwa mkono na Serikali ya Rwanda 🇷🇼 (Paul Kagame). Baadaye kwenye mkutano wa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Paul Kagame alisema kuwa Waasi wanaopigana Nchini DR Congo, wote ni Wakongo (Wakongomani) huku akimnyooshea kidole Félix Tshisekedi kuwa anashindwa kusema hadharani kiini halisi cha mgogoro uliopo kati ya Waasi hao na DR Congo ambapo Kagame alidai kuwa kuna mikataba yao ambao hataki kuzungumzwa na Serikali ya DR Congo akiwemo Tshisekedi na wakijificha kwenye kichaka cha kwamba Rwanda ndio mfadhili wa Waasi hao.
    1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·140 Visualizações
  • Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa?

    Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi.

    Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki...

    Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu.

    Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona.

    Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia".

    Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Kaka 2003 Alitua Malpesa Airpot Milan akiwa amevaa mewani ya mwanafunzi, Nywele zake amechana vizuri kama mwanafunzi, kitu pekee alichokosa ili awe mwanafunzi kamili ni vitabu na lunchbox, "nikasema" Mungu wangu tumefanya nini hiki? hivi huyu ataweza kucheza professional football kwa kiwango kinachotakiwa? Sikuwahi kumuona Ricardo Kaka kabla hiyo ndo ilikua mara ya kwanza, hata video yake yoyote sikuiona kwahiyo nilikua na wasiwasi. Hatimae siku ilifika Kaka akaja kwenye mazoezi kitu cha kwanza nilichotaka kumuuliza ni "Umewaambia wazazi wako kuwa haujaenda shule leo?", Walinzi wa Milanello(uwanja wa mazoezi) walikua na kila sababu ya kumuuliza iko wapi leseni yako ya udereva kabla ya kumruhusu kuingia ila unajua ni nini kilitokea? Ni hiki... Aliposimama uwanjani kwa mara ya kwanza niliskia kwaya na tarumbeta kutoka mbinguni kweli Kaka alikua ni Genius alieteremshwa kutoka mbinguni asante Mungu. Alipogusa tu mpira alikua na uwezo wa ajabu niliacha kuongea maana hakuna neno la kuelezea hisia zangu, hakuna neno kwenye kamusi linaloweza kuelezea ni nini niliona. Nilimpenda sana Kaka, kweli nilimpenda, sana, Aliweka chini mewani yake akavaa tracksuit na akawa kitu ambacho sikutegemea "mchezaji mwenye viwango vya dunia". Hayo ni Maneno aliyoandika Carlo Ancelotti kwenye kitabu chake "The beautiful Game of an Ordinary Genius", akielezea nini kilitokea alipokua kocha wa Ac Milan na walipomsajili Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu Ricardo Kaka.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·238 Visualizações
  • Ya Mange Kimambi kuhusu sakata la Mbosso na Zuchu kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi.

    Mnaosema Mbosso bora angebaki wasafi hivi mnawaza nini? Hivi mnadhani hawa wasanii ni wajinga wanapoamua kutoka kwa Diamond?

    Wanatoka coz wanaona hawapati matunda ya kazi zao, wanapiga kazi kubwa, wanakuwa famous nchi nzima ila hakuna pesa ya maana wanayopata, faida kubwa inaenda kwa kampuni ndo maana wanaona bora watoke wakajitafutie hata kama ni kidogo ila angalau ni chake na hatumiki tena kumtajirisha mtu.

    Nawaambia hata Zuchu leo akiachwa na Dai kesho yake asubuhi na mapema anatoka Wasafi. kinachomuweka Zuchu wasafi ni kwamba yuko obsessed na kuolewa na Diamond.

    Oh yeah, bado tukiwa kwenye hiyo topic ya king’ang’a ngoja niwaambie hivi, ni ngumu mnooo Diamond kumuacha king’ang’a, tena mnooooo. Hivi ndugu zangu mnajua maisha yalivyo magumu, mnataka Diamond amuache mwanamke anaemuingizia mabilioni ya pesa then aje kwenu vishanshuda wa mjini mnaosubiri kupewa? Itabidi akununulie gari, akupangie nyumba, akupe hela ya mawigi, akupe hela ya kulea ukoo wako, then uombe akujengee nyumba, why aingie kwenye matatizo hayo wakati Zuchu hayo mambo yote anajifanyia mwenyewe na on top of that anamwingizia pesa kwenye account? Yani aache mwanamke ambae hamcosti hata senti moja na bado anamwingizia mahela kwenye account aje kwenu omba omba na makalio yenu ya Uturuki? Itabidi Zuchu ashuke kimziki aache kumwingizia Diamond mahela ndo atapigwa chini. Yani Zuchu siku akishindwa kumwingizia Dai pesa kwenye account ndio ataachwa na sio kabla.Sasa acheni kujaji uzuri wako vs wa king’ang’a, jaji pesa utakayoweza kumwingizia Dai kwenye account Vs Zuchu anayomwingizia ndo utapata majibu. Na sasa hivi Zuchu kawaka moto Dai amuoe au anaingia mitini mnadhani Dai atachagua nini? Ampoteze top money maker wa Wasafi au aoe?Tumieni akili hapo, mnadhani atachagua nini?

    Basi kwa hii posti kama namuona Dai atavyoniletea barua ingine ya lawyer huku Marekani . Weee mi sio kina Mwijaku uliowatishia na vibarua vya lawyer siku hizi wameufyata wooote. Weeee, mimi tutagaragazana mahakamani mpaka woote tufilisike kwa kulipa malawyer . Chezea wapare tunavyopenda kesi .Yes guys, kama mnenoti siku hizi hakuna mtu bongo anadhubutu kumchamba Dai, wooote kawanyoosha kwa kuwatishia lawyer.

    Ya Mange Kimambi kuhusu sakata la Mbosso na Zuchu kujitoa kwenye Lebo ya WCB Wasafi. Mnaosema Mbosso bora angebaki wasafi hivi mnawaza nini? Hivi mnadhani hawa wasanii ni wajinga wanapoamua kutoka kwa Diamond? Wanatoka coz wanaona hawapati matunda ya kazi zao, wanapiga kazi kubwa, wanakuwa famous nchi nzima ila hakuna pesa ya maana wanayopata, faida kubwa inaenda kwa kampuni ndo maana wanaona bora watoke wakajitafutie hata kama ni kidogo ila angalau ni chake na hatumiki tena kumtajirisha mtu. Nawaambia hata Zuchu leo akiachwa na Dai kesho yake asubuhi na mapema anatoka Wasafi. kinachomuweka Zuchu wasafi ni kwamba yuko obsessed na kuolewa na Diamond. Oh yeah, bado tukiwa kwenye hiyo topic ya king’ang’a ngoja niwaambie hivi, ni ngumu mnooo Diamond kumuacha king’ang’a, tena mnooooo. Hivi ndugu zangu mnajua maisha yalivyo magumu, mnataka Diamond amuache mwanamke anaemuingizia mabilioni ya pesa then aje kwenu vishanshuda wa mjini mnaosubiri kupewa? Itabidi akununulie gari, akupangie nyumba, akupe hela ya mawigi, akupe hela ya kulea ukoo wako, then uombe akujengee nyumba, why aingie kwenye matatizo hayo wakati Zuchu hayo mambo yote anajifanyia mwenyewe na on top of that anamwingizia pesa kwenye account? Yani aache mwanamke ambae hamcosti hata senti moja na bado anamwingizia mahela kwenye account aje kwenu omba omba na makalio yenu ya Uturuki? Itabidi Zuchu ashuke kimziki aache kumwingizia Diamond mahela ndo atapigwa chini. Yani Zuchu siku akishindwa kumwingizia Dai pesa kwenye account ndio ataachwa na sio kabla.Sasa acheni kujaji uzuri wako vs wa king’ang’a, jaji pesa utakayoweza kumwingizia Dai kwenye account Vs Zuchu anayomwingizia ndo utapata majibu. Na sasa hivi Zuchu kawaka moto Dai amuoe au anaingia mitini mnadhani Dai atachagua nini? Ampoteze top money maker wa Wasafi au aoe?Tumieni akili hapo, mnadhani atachagua nini? Basi kwa hii posti kama namuona Dai atavyoniletea barua ingine ya lawyer huku Marekani 🤣. Weee mi sio kina Mwijaku uliowatishia na vibarua vya lawyer siku hizi wameufyata wooote. Weeee, mimi tutagaragazana mahakamani mpaka woote tufilisike kwa kulipa malawyer 🤣. Chezea wapare tunavyopenda kesi 🤣🤣.Yes guys, kama mnenoti siku hizi hakuna mtu bongo anadhubutu kumchamba Dai, wooote kawanyoosha kwa kuwatishia lawyer.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·263 Visualizações
  • #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE).

    Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali.

    Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani.

    Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii.

    #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    #JeWajua Msako mkali wa wahamiaji uliofanyika nchini Marekani siku ya Jumapili na kusababisha kukamatwa kwa watu 956, idadi hiyo ikiwa kubwa zaidi tangu Donald Trump arejee mamlakani, kulingana na shirika la Uhamiaji na Utekelezaji wa Forodha (ICE). Mashirika kadhaa ya serikali yenye mamlaka mapya ya kuwaweka kizuizini wasio na vibali yalihusika katika kamata kamata hiyo kwenye miji kadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami. Moja ya ahadi alizotoa Donald Trump wakati wa kampeni yake, ni kuwafukuza nchi Marekani wahamiaji wasio na vibali. Mtangulizi wake Joe Biden aliwarejesha makwao wastani wa wahamiaji 311 kila siku, kulingana na ICE, wengi wao wakiwa watu ambao walikuwa wamefanya uhalifu. Tangu aingie madarakani, Trump ametekeleza maagizo 21 kurekebisha mfumo wa uhamiaji wa Marekani. Huko Miami siku ya Jumapili, vyombo vya kutekeleza sheria vya serikali vilichukua "hatua kadhaa za uhamiaji," Uchunguzi wa Usalama wa jiji hilo ulisema kwenye mitandao ya kijamii. #tanzania #kenya #daressalaam #africa #zanzibar #diamondplatnumz #arusha #mwanza #dodoma #uganda #wcb #travel #life #safari #wasafi #love #millardayoupdates #mbeya #nairobi #harmonize #rwanda #eastafrica #kilimanjaro #alikiba #gainwithmchina #serengeti #wasafitv #fashion #wasafimedia
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·870 Visualizações
  • Katika hotuba yake kwa Taifa lake la Congo kwa njia ya Televisheni, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , Felex Tshekesedi ameweka msimamo kuwa hakuna mazungumzo na Waasi wa M23 na badala yake akasema "majibu makali yaliyoratibiwa" dhidi ya kile alichokiita "Magaidi". Tshisekedi amehimiza Wacongo wote kuungana pamoja na kuunga mkono mapambano ya Jeshi kutwaa tena udhibiti wa Mji wa Goma pamoja na zenye fujo Mashariki mwa Congo.

    " Kuweni na uhakika wa jambo moja: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo haitajiruhusu kufedheheshwa . Tutapigana na tutashinda," amekaririwa akisema Rais huyo.

    Mchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kutoka Nchini Tanzania, Zungu alikuwa na hayo ya kusema

    "Huu mzozo unaenda kupanuka zaidi jeshi la Congo ni dhaifu ni wazi kuwa halina uwezo wa kutosha kupambana na M23 sasa basi watahitaji washirika ili kurejesha uthibiti na kuwafukuza M23 wanaoungwa mkono na Kagame nini kitatokea?

    Kingine ni wazi kuwa mzozo huu umeushinda nguvu jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI, si Kagame wala Tshisekedi wote ukiwasikiliza hawana imani na jumuiya hii, rejea kikao cha mwisho cha marais wa Afrika mashariki ambapo Congo iligoma kuhudhuria kisa Rwanda!!

    Tuimboee Congo pande zote zinazopigana zimechagua mtutu na sio meza!!"

    Katika hotuba yake kwa Taifa lake la Congo kwa njia ya Televisheni, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, Felex Tshekesedi ameweka msimamo kuwa hakuna mazungumzo na Waasi wa M23 na badala yake akasema "majibu makali yaliyoratibiwa" dhidi ya kile alichokiita "Magaidi". Tshisekedi amehimiza Wacongo wote kuungana pamoja na kuunga mkono mapambano ya Jeshi kutwaa tena udhibiti wa Mji wa Goma pamoja na zenye fujo Mashariki mwa Congo. " Kuweni na uhakika wa jambo moja: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo haitajiruhusu kufedheheshwa . Tutapigana na tutashinda," amekaririwa akisema Rais huyo. Mchambuzi wa Siasa za Kimataifa Kutoka Nchini Tanzania, Zungu alikuwa na hayo ya kusema "Huu mzozo unaenda kupanuka zaidi jeshi la Congo ni dhaifu ni wazi kuwa halina uwezo wa kutosha kupambana na M23 sasa basi watahitaji washirika ili kurejesha uthibiti na kuwafukuza M23 wanaoungwa mkono na Kagame nini kitatokea? Kingine ni wazi kuwa mzozo huu umeushinda nguvu jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI, si Kagame wala Tshisekedi wote ukiwasikiliza hawana imani na jumuiya hii, rejea kikao cha mwisho cha marais wa Afrika mashariki ambapo Congo iligoma kuhudhuria kisa Rwanda!! Tuimboee Congo pande zote zinazopigana zimechagua mtutu na sio meza!!"
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·264 Visualizações
  • Baada ya kuripotiwa kuwa zaidi ya Watanzania mia tatu (300) wamerudishwa Nchini Tanzania kufuatia agizo la Rais wa Marekani , Donald Trump la kuwaondoa Watu wanaoishi Nchini Marekani kinyume cha sheria, Mange Kimambi ameibuka na kusema hayo:

    "Naomba niwaambie ndugu zangu kwa mara ya mwisho na nisione ten comments za issue hii. Ni hivi mimi sitokaa nirudishwe Tanzania… Yani hiyo kitu ifuteni kabisa. Haipoooo.

    .Huyo jamaa aliekatwa kwenye hii picha hawezi kubali nirudishwe kwa kimama hata siku moja Atapambana na serikali yake juu chini hadi waniache . Alafu hata hatohitaji kupambana maana huyo ni supporter wa Trump, kipindi cha uchaguzi kidogo tupeane talaka maana mimi Trump sijawahi kumwelewa…Huyo jamaa aliekatwa kwenye picha barua moja tu au simu moja tu wanamwachia mpare wake….. … Siwezi guswa na mtu mimi.- Mange kimambi, Mwanaharakati (Mtanzania) aishiye Nchini Marekani .

    Baada ya kuripotiwa kuwa zaidi ya Watanzania mia tatu (300) wamerudishwa Nchini Tanzania 🇹🇿 kufuatia agizo la Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump la kuwaondoa Watu wanaoishi Nchini Marekani kinyume cha sheria, Mange Kimambi ameibuka na kusema hayo: "Naomba niwaambie ndugu zangu kwa mara ya mwisho na nisione ten comments za issue hii. Ni hivi mimi sitokaa nirudishwe Tanzania… Yani hiyo kitu ifuteni kabisa. Haipoooo. .Huyo jamaa aliekatwa kwenye hii picha hawezi kubali nirudishwe kwa kimama hata siku moja 🤣🤣🤣Atapambana na serikali yake juu chini hadi waniache 🤣🤣🤣🤣🤣. Alafu hata hatohitaji kupambana maana huyo ni supporter wa Trump, kipindi cha uchaguzi kidogo tupeane talaka maana mimi Trump sijawahi kumwelewa…Huyo jamaa aliekatwa kwenye picha barua moja tu au simu moja tu wanamwachia mpare wake….. 🤣🤣🤣🤣🤣… Siwezi guswa na mtu mimi.- Mange kimambi, Mwanaharakati (Mtanzania) aishiye Nchini Marekani 🇺🇸.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·185 Visualizações
  • NAKUKUMBUSHA MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA)
    ``````````````````````````````````
    Soma kwa makini kilichoandikwa acha kukurupuka kuacha comment..hii ni kwa ajili ya Elimu.

    Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa urahisi tena hayafurahishi kusemwa hadharani.

    Lakini leo nitayasema kwa uchache kwa nia ya kujenga na wala sikusudii kuhamasisha uzinzi wala biashara hiyo

    1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na kama utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie tena katika shughuli zako hizo baadhi yao Wana nuksi

    2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi yao. Kama bei ya kumnunua ni Tsh 5,000 basi nenda na walau 10,000 tu

    3. Usifike na kuchagua papo hapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa mbali.

    4. Chagua dada poa ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo sana wala usiwe mkubwa sana.

    5. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya kwanza au ya pili kupata huduma yake.

    6. Bila shaka hatakuruhusu kumnyonya romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake kukwepa magonjwa kama hepatitis A,B,C.

    7. Usiwe na vitu vingi na wala usivue suruali yote wakati wa tendo (short time) Na Kama umemchukua kwa full time ili umtumie usiku mzima. Basi asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa asubuhi hajawika au aondoke kabla ya jogoo wa alfajiri hajawika jitahidi sana mjukuu wangu mchweo yasikukute na Dada poa maana nyota njema huonekana asubuhi

    8. Usimpeleke malaya katika geto au nyumba yako unayoitumia wewe na mkeo, wanao wakuwazaa au ndugu zako.

    9. Usimdhulumu Dada poa malipo yake. Mpe kadiri ya mapatano yenu mlivyoelewana

    10. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote HUYO Dada poa

    11. Usionyeshe ubora wa nguvu zako Kwa Dada poa pindi ufanyapo naye mapenzi. Kwa maana huwezi shindana na dada poa, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake. Utakuja ujifie

    12. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Dada poa
    Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo.
    Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo wa ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu.

    13. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Dada poa isipokuwa ogopa dhambi ya uzinzi unayoifanya.

    14. Usikae chini alafu Dada poa aje juu yako, bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia.
    Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na Kama kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha nyumbani hii ni kwasababu za kiusalama zaidi.

    15. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kwenye kondomu kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele, uwa wanazitumia kwenye uganga wa kienyeji kuvutia Watu madukani huku wewe unafirisika hela haikai mfukoni.

    16. Usiwekeane ahadi na nadhiri na Dada poa. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za giza

    17. Usiguse Jambo lolote nyumbani kwako utakaporudi kabla haujajitakasa.
    Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba

    18. Usije ukajisahau ukazaa na dada poa ilhali unajua unamke.

    19. Usifanye mapenzi na dada poa taa zikiwa zimezimwa, kama huna D mbili huwezi kuelewa hapa

    20. Usifanye mapenzi na dada poa ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo

    21. Kama vile usivyomjua vizuri huyo dada poa nawe asikujue vizuri.
    Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako.

    22. Usiende kununua dada poa kama hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia Kama itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni kwa kukuuza Kwa ving'asti kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana

    23. Kama amekufurahisha Sana unaweza mpa bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha.

    24. Ikiwa umenunua dada poa kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo

    25. Ikiwa utaundiwa zengwe na kukamatwa na huyo dada poa basi suluhisha uwezavyo ishu isifike nyumbani kwa familia yako.

    Mwisho usinunue dada poa eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga sana usiende kununua, utakuja kunishukuru

    Kama hakuna ulazima wa kununua dada poa mwaka huu nakushauri acha kwani sio kitu kizuri kiroho kwani miili yao mingi imebeba laana, mikosi na mabalaa kwa kua wanalala na kitu mtu mwenye kila aina ya changamoto kwa sababu tu ya pesa huu ndio ushauri wangu kwako
    ``````````````````````````````````````````
    Acha maoni yako soma kwa umakini...
    NAKUKUMBUSHA MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA) `````````````````````````````````` Soma kwa makini kilichoandikwa acha kukurupuka kuacha comment..hii ni kwa ajili ya Elimu. Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa urahisi tena hayafurahishi kusemwa hadharani. Lakini leo nitayasema kwa uchache kwa nia ya kujenga na wala sikusudii kuhamasisha uzinzi wala biashara hiyo 1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na kama utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie tena katika shughuli zako hizo baadhi yao Wana nuksi 2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi yao. Kama bei ya kumnunua ni Tsh 5,000 basi nenda na walau 10,000 tu 3. Usifike na kuchagua papo hapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa mbali. 4. Chagua dada poa ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo sana wala usiwe mkubwa sana. 5. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya kwanza au ya pili kupata huduma yake. 6. Bila shaka hatakuruhusu kumnyonya romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake kukwepa magonjwa kama hepatitis A,B,C. 7. Usiwe na vitu vingi na wala usivue suruali yote wakati wa tendo (short time) Na Kama umemchukua kwa full time ili umtumie usiku mzima. Basi asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa asubuhi hajawika au aondoke kabla ya jogoo wa alfajiri hajawika jitahidi sana mjukuu wangu mchweo yasikukute na Dada poa maana nyota njema huonekana asubuhi 8. Usimpeleke malaya katika geto au nyumba yako unayoitumia wewe na mkeo, wanao wakuwazaa au ndugu zako. 9. Usimdhulumu Dada poa malipo yake. Mpe kadiri ya mapatano yenu mlivyoelewana 10. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote HUYO Dada poa 11. Usionyeshe ubora wa nguvu zako Kwa Dada poa pindi ufanyapo naye mapenzi. Kwa maana huwezi shindana na dada poa, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake. Utakuja ujifie 12. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Dada poa Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo. Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo wa ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu. 13. Usiogope magonjwa ya zinaa Kama UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Dada poa isipokuwa ogopa dhambi ya uzinzi unayoifanya. 14. Usikae chini alafu Dada poa aje juu yako, bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia. Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na Kama kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha nyumbani hii ni kwasababu za kiusalama zaidi. 15. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kwenye kondomu kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele, uwa wanazitumia kwenye uganga wa kienyeji kuvutia Watu madukani huku wewe unafirisika hela haikai mfukoni. 16. Usiwekeane ahadi na nadhiri na Dada poa. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za giza 17. Usiguse Jambo lolote nyumbani kwako utakaporudi kabla haujajitakasa. Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba 18. Usije ukajisahau ukazaa na dada poa ilhali unajua unamke. 19. Usifanye mapenzi na dada poa taa zikiwa zimezimwa, kama huna D mbili huwezi kuelewa hapa 😂 20. Usifanye mapenzi na dada poa ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo 21. Kama vile usivyomjua vizuri huyo dada poa nawe asikujue vizuri. Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako. 22. Usiende kununua dada poa kama hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia Kama itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni kwa kukuuza Kwa ving'asti kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana 23. Kama amekufurahisha Sana unaweza mpa bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha. 24. Ikiwa umenunua dada poa kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo 25. Ikiwa utaundiwa zengwe na kukamatwa na huyo dada poa basi suluhisha uwezavyo ishu isifike nyumbani kwa familia yako. Mwisho usinunue dada poa eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga sana usiende kununua, utakuja kunishukuru Kama hakuna ulazima wa kununua dada poa mwaka huu nakushauri acha kwani sio kitu kizuri kiroho kwani miili yao mingi imebeba laana, mikosi na mabalaa kwa kua wanalala na kitu mtu mwenye kila aina ya changamoto kwa sababu tu ya pesa huu ndio ushauri wangu kwako `````````````````````````````````````````` Acha maoni yako soma kwa umakini...🙏
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·270 Visualizações
  • Mwaka 2019, Nchini Japan waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi.

    Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo.

    Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

    Mwaka 2019, Nchini Japan 🇯🇵 waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi. Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo. Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·140 Visualizações
  • Mwaka 2019, Nchini Japan waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi.

    Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo.

    Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.

    Mwaka 2019, Nchini Japan 🇯🇵 waliweza kupitisha utafiti kwa kuweza kuwaruhusu Wanasayansi kuweza kutengeneza (kuunda) Wanadamu. Mfumo huo ambao unakusanya viungo vya Wanyama na Binadamu ili kuweza kukuza viungo vya Binadamu ndani ya Mnyama kwa njia ya kupandikiza. Watafiti hao wakiongozwa na Mwanasayansi mmoja aitwaye Hiromitsu Nakauchi. Utafiti huo unaruhusisha kuingiza "seli" za Binadamu kwenye "viinitete" vya Wanyama (animal embroys) kwa Nguruwe na Panya, ili kuweza kukuza vya Binadamu. Bado kuna wasiwasi wa kimaadili unaweza kujitokeza kuhusu kuchanganya "seli" za kibinadamu na Wanyama haswa kwenye ukuaji wa ubongo. Sheria mpya imeruhusu utafiti huo kukuza hadi kuwa Mnyama Binadamu kamili, hivyo kuzua mijadiliano mikali kati ya Sayansi ya matibabu na uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
    Like
    Wow
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·143 Visualizações
  • Mamlaka ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inasema vikosi vya serikali na washirika wao wanaopigana katika eneo la Mashariki ya nchi hiyo bado wana udhibiti wa baadhi ya maeneo huko Goma, licha ya kuingia kwa M23 jijini siku ya Jumatatu.

    Rais Felix Tshisekedi alifanya mkutano na viongozi wa taasisi kadhaa za serikali mwishoni mwa Jumatatu, ili kutathmini hali ilivyo huko Goma ambo ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini ambao kikundi cha M23 kinadai kuwa imeuteka.

    "Wanajeshi wetu na Wazalendo wanaendelea kushikilia maeneo fulani jijini" alisema Vital Kamerhe, msemaji wa Bunge la Kitaifa la DRC baada ya mkutano na rais.

    Serikali ya Kongo ilisema wanajeshi walifanya mashambulizi ya kujilinda kushinikiza waasi kurejea nyuma ambayo bado inasisitiza kuwa, waliungwa mkono na vikosi vya Rwanda.

    Ndani ya DRC, shutuma dhidi ya mashambulizi ya M23 huko Goma zimeongezeka. Chama cha vikundi tofauti vya asasi za kiraia viliwasihi watu kote nchini humo kutofika mjini leo, wakati kiongozi wa upinzaji Martin Fayulu akitaka wananchi kuandamana siku ya Jumamosi kukemea vitendo vya M23.

    Kupitia mazungumzo ya simu hapo awali, Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio "alilaani mashambulizi katika mji wa Goma yanayotekelezwa na M23 yenye kuungwa mkono na Rwanda na kudhibitisha kuwa Marekani inaheshimu uhuru wa DRC," kulingana na taarifa kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Tammy Bruce.

    Kikao cha pili cha Baraza la Usalama la UN juu ya hali ya mashariki mwa DRC kitafanyika leo, pamoja na mkutano tofauti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.
    (Cc: BBC Swahili)

    Mamlaka ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo inasema vikosi vya serikali na washirika wao wanaopigana katika eneo la Mashariki ya nchi hiyo bado wana udhibiti wa baadhi ya maeneo huko Goma, licha ya kuingia kwa M23 jijini siku ya Jumatatu. Rais Felix Tshisekedi alifanya mkutano na viongozi wa taasisi kadhaa za serikali mwishoni mwa Jumatatu, ili kutathmini hali ilivyo huko Goma ambo ni mji mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini ambao kikundi cha M23 kinadai kuwa imeuteka. "Wanajeshi wetu na Wazalendo wanaendelea kushikilia maeneo fulani jijini" alisema Vital Kamerhe, msemaji wa Bunge la Kitaifa la DRC baada ya mkutano na rais. Serikali ya Kongo ilisema wanajeshi walifanya mashambulizi ya kujilinda kushinikiza waasi kurejea nyuma ambayo bado inasisitiza kuwa, waliungwa mkono na vikosi vya Rwanda. Ndani ya DRC, shutuma dhidi ya mashambulizi ya M23 huko Goma zimeongezeka. Chama cha vikundi tofauti vya asasi za kiraia viliwasihi watu kote nchini humo kutofika mjini leo, wakati kiongozi wa upinzaji Martin Fayulu akitaka wananchi kuandamana siku ya Jumamosi kukemea vitendo vya M23. Kupitia mazungumzo ya simu hapo awali, Waziri mpya wa mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio "alilaani mashambulizi katika mji wa Goma yanayotekelezwa na M23 yenye kuungwa mkono na Rwanda na kudhibitisha kuwa Marekani inaheshimu uhuru wa DRC," kulingana na taarifa kutoka kwa msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Tammy Bruce. Kikao cha pili cha Baraza la Usalama la UN juu ya hali ya mashariki mwa DRC kitafanyika leo, pamoja na mkutano tofauti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. (Cc: BBC Swahili)
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·297 Visualizações
  • Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda.

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo.

    Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo. Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·229 Visualizações
  • Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda.

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo.

    Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo linaendelea kupambana na Waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Jeshi la Rwanda (Japo Rwanda imeshalikanusha mara nyingi tu). Raia watano pia wameripotiwa kuuawa huko Gisenyi Nchini Rwanda. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais wa Kenya William Ruto, ameitisha mkutano wa Marais wa Jumuiya hiyo hapo kesho Jumatano wa kuutafutia suluhu mzozo huo wa mashariki mwa Kongo licha ya Kigali na Kinshasa kutotoa taarifa rasmi kuwa watashiriki mkutano huo. Umoja wa Mataifa ambao umetahadharisha kuwa mzozo huo unaweza kuzusha vita vya kikanda na umeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya mbaya ya kibinadamu huko Goma ambako mwezi huu pekee, karibu Watu 500,000 wameyahama makazi yao.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·227 Visualizações
  • Msako mkali wa wahamiaji wasio na vibali uliofanyika siku ya Jumapili nchini Marekani umekamata watu 956 ikiwa ni idadi kubwa zaidi tangu Rais Donald Trump arejee madarakani.

    Kamata kamata hiyo iliyofanywa na mashirika kadhaa ya serikali, imehusisha miji kaadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami.
    Msako mkali wa wahamiaji wasio na vibali uliofanyika siku ya Jumapili nchini Marekani umekamata watu 956 ikiwa ni idadi kubwa zaidi tangu Rais Donald Trump arejee madarakani. Kamata kamata hiyo iliyofanywa na mashirika kadhaa ya serikali, imehusisha miji kaadhaa ikiwa ni pamoja na Chicago, Newark na Miami.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·64 Visualizações
  • Jose mourinho : "Naweza kusema kazi ngumu niliyokuwa nayo ni Messi, nikikuta kitabu kimeandikwa kwenye jalada lake "How to stop Messi" ningenunua vitabu vyote vya kusoma na kuwapa wachezaji wangu, nilifanya hivyo. sikumtafutia suluhu nikiwa Real Madrid ningenunua mabeki bora na mwisho ningewakuta wanaanguka chini na Messi anakimbia na kujisemea

    "kuna bora zaidi ya hawa wachezaji? Hakuna, kwa hiyo tatizo halipo kwangu wala kwao, tatizo ni kwamba hakuna namna ya kumzuia" Naomba tu Mungu afanye muujiza kwa muujiza huu wa soka maana masuluhisho ya dunia hayatafanya kazi naye, Nataka kumwambia kocha yeyote ambaye hajakutana na Messi “una bahati sana kwani unalala vizuri kwani timu unazocheza nazo hazina Messi”, makocha watakaokutana naye nataka kusema “Usijisumbue na usijaribu kumzuia, furahia tu au utajikuta umekaa ukiwaza usiku wa manane"

    Jose mourinho 🗣️ : "Naweza kusema kazi ngumu niliyokuwa nayo ni Messi, nikikuta kitabu kimeandikwa kwenye jalada lake "How to stop Messi" ningenunua vitabu vyote vya kusoma na kuwapa wachezaji wangu, nilifanya hivyo. sikumtafutia suluhu nikiwa Real Madrid ningenunua mabeki bora na mwisho ningewakuta wanaanguka chini na Messi anakimbia na kujisemea "kuna bora zaidi ya hawa wachezaji? Hakuna, kwa hiyo tatizo halipo kwangu wala kwao, tatizo ni kwamba hakuna namna ya kumzuia" Naomba tu Mungu afanye muujiza kwa muujiza huu wa soka maana masuluhisho ya dunia hayatafanya kazi naye, Nataka kumwambia kocha yeyote ambaye hajakutana na Messi “una bahati sana kwani unalala vizuri kwani timu unazocheza nazo hazina Messi”, makocha watakaokutana naye nataka kusema “Usijisumbue na usijaribu kumzuia, furahia tu au utajikuta umekaa ukiwaza usiku wa manane"
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·163 Visualizações
  • Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania

    Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza

    Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Mshambuliaji Kassim Rajani (22) yupo kwenye majaribio Simba SC Tanzania Mchezaji huyo mwenye uraia wa Canada alikua akichezea klabu ya FC RUSHDEN& DIAMONDS ya nchini uingereza Nafasi yake anayoimudu uwanjani ni kiungo,yupo kwenye majaribio kwenye viunga vya msimbazi. #NestoShayoUPDATES
    Love
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·222 Visualizações
Páginas Impulsionadas