kumekucha kijuhudi... hatua zangu nazitupa,,,//
kuhaso ndo kusudi...la Jah rizki atanipa,,//

na kaza Kazi zote nagonga... pesa nalipwa kesh,,,//
nafunga zipu noti nakunja... nazama chuch,,,//

Jah ndo langu jeshi... kila chaka sitoki kapa,,//
yuko freshi... mwenyezi nampa sifa,,//

imani kwa Jah... japo mbele naona giza,,//
imani ni taa... imulike kwenye giza,,//

iangaze napoenda viwanja nipige mawe...
uvivu ndo wenye kuvunja moyo,,,//

kila chaka nalotimba ni full shangwe...
wanangu kwa Jah hakuna choyo,,//
kumekucha kijuhudi... hatua zangu nazitupa,,,// kuhaso ndo kusudi...la Jah rizki atanipa,,// na kaza Kazi zote nagonga... pesa nalipwa kesh,,,// nafunga zipu noti nakunja... nazama chuch,,,// Jah ndo langu jeshi... kila chaka sitoki kapa,,// yuko freshi... mwenyezi nampa sifa,,// imani kwa Jah... japo mbele naona giza,,// imani ni taa... imulike kwenye giza,,// iangaze napoenda viwanja nipige mawe... uvivu ndo wenye kuvunja moyo,,,// kila chaka nalotimba ni full shangwe... wanangu kwa Jah hakuna choyo,,//
0 Commentaires ·0 Parts ·230 Vue