Sawa we nenda .. Nakuatakia baraka
Uendako uwe good wala usiwe na mashaka.....***
~najua ahadi zangu .... Ndio zilikuumiza
Hali yangu ya kimaisha pia ilikuliza .....//
Leo unandoka..... Auchi ata ndala
Niachie ata picha .... Usiku niweze lala.....//
Ntamic harufu yako .... Mafuta yako
Ntamic hadi macho pia napenz lako......//
Usione siumii .....ira ndio bac
Najikaza kishababi.... Kama cna wac wac......//
Mpk nyau piaa...... atakukumbuka
Kwa yako mapishi ......Naona jikoni pata umbuka ....//
Malkia wangu ... Nyonga Mkalia ini
Leo una ndoka....... nabak alone mm.....//
Fanya kama uend .....ludi mpenz
Usiniache nitachekwa ....ntateseka na mapenz.....//
Ntamic cheko rako .... Fulaha yangu ipo kwako
Ukifika uendako ..... Nisikie sauti yako ......//
inamaana leo mwisho.......ata kunikumbatia
Lile busu ra shavuni nani nitampatia.....//
Nalia na mengi..... Usiseme niwe sawa
Mm kwako nlifika .... Napia nilipagawa.....//
My love pliz .....usinyanyue ata begi
Mtalia kama mtoto.. .... aliye pigwa mijeledi.....//
Uendako uwe good wala usiwe na mashaka.....***
~najua ahadi zangu .... Ndio zilikuumiza
Hali yangu ya kimaisha pia ilikuliza .....//
Leo unandoka..... Auchi ata ndala
Niachie ata picha .... Usiku niweze lala.....//
Ntamic harufu yako .... Mafuta yako
Ntamic hadi macho pia napenz lako......//
Usione siumii .....ira ndio bac
Najikaza kishababi.... Kama cna wac wac......//
Mpk nyau piaa...... atakukumbuka
Kwa yako mapishi ......Naona jikoni pata umbuka ....//
Malkia wangu ... Nyonga Mkalia ini
Leo una ndoka....... nabak alone mm.....//
Fanya kama uend .....ludi mpenz
Usiniache nitachekwa ....ntateseka na mapenz.....//
Ntamic cheko rako .... Fulaha yangu ipo kwako
Ukifika uendako ..... Nisikie sauti yako ......//
inamaana leo mwisho.......ata kunikumbatia
Lile busu ra shavuni nani nitampatia.....//
Nalia na mengi..... Usiseme niwe sawa
Mm kwako nlifika .... Napia nilipagawa.....//
My love pliz .....usinyanyue ata begi
Mtalia kama mtoto.. .... aliye pigwa mijeledi.....//
Sawa we nenda .. Nakuatakia baraka
Uendako uwe good wala usiwe na mashaka.....***
~najua ahadi zangu .... Ndio zilikuumiza
Hali yangu ya kimaisha pia ilikuliza .....//
Leo unandoka..... Auchi ata ndala
Niachie ata picha .... Usiku niweze lala.....//
Ntamic harufu yako .... Mafuta yako
Ntamic hadi macho pia napenz lako......//
Usione siumii .....ira ndio bac
Najikaza kishababi.... Kama cna wac wac......//
Mpk nyau piaa...... atakukumbuka
Kwa yako mapishi ......Naona jikoni pata umbuka ....//
Malkia wangu ... Nyonga Mkalia ini
Leo una ndoka....... nabak alone mm.....//
Fanya kama uend .....ludi mpenz
Usiniache nitachekwa ....ntateseka na mapenz.....//
Ntamic cheko rako .... Fulaha yangu ipo kwako
Ukifika uendako ..... Nisikie sauti yako ......//
inamaana leo mwisho.......ata kunikumbatia
Lile busu ra shavuni nani nitampatia.....//
Nalia na mengi..... Usiseme niwe sawa
Mm kwako nlifika .... Napia nilipagawa.....//
My love pliz .....usinyanyue ata begi
Mtalia kama mtoto.. .... aliye pigwa mijeledi.....//

