Διάβασε περισσότερα
Nko juu...kiupendo Taratibu. ..ndio mwendo...... Nmenasa kwako mama ...nmeziba ilo pengo.....// Wewe ndio wamalengo ...napenda wako upendo Umesimama kama moja ...huna mapepe wala zengo....// Askali wa moyo.....asali wa moyo Vile ukinanilii...mi nakuwa kibogoyo....// Ufundi wako naujua....kwa mapishi unajua Kiukweli unatisha kama maradi na mvua..../. Malaika wa ubavu .....ata nipige kavu Cna ofu na wwe ....kama paper na kitabu.....// Cna mbadala wako....kwangu uko peke yako Amin ninakupenda ....tuwe wote mpak kifo.....// My wushu nakagawa.....ndan ya tempo napagawa Nakuwa kama kichaa milembe na we ndio dawa....//
Like
1
· 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·687 Views