CONFIRMED: Uongozi was Simba umethibitisha kwamba kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25 hautakuwa na kiungo mkabaji Sadio Kanoute katika kikosi chao.
.
Kanoute alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 kutoka klabu ya Al Ahly Benghazi ya Libya. Mkataba wa Kanoute umemalizika rasmi na baada ya mazungumzo ya pande mbili wamekubaliana kutokuwa pamoja.
🚨 CONFIRMED: Uongozi was Simba umethibitisha kwamba kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25 hautakuwa na kiungo mkabaji Sadio Kanoute katika kikosi chao. . Kanoute alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 kutoka klabu ya Al Ahly Benghazi ya Libya. Mkataba wa Kanoute umemalizika rasmi na baada ya mazungumzo ya pande mbili wamekubaliana kutokuwa pamoja.
Like
1
0 Commentaires 0 Parts 137 Vue