Uganga maana yake ni kumtibu mtu, mtu anaumwa ukamtibu akapona; unapata malipo kwa mwenyezi Mungu kwa hiyo uganga haujakatazwa katika vitabu vyote vinne (4) vya mwenyezi Mungu; Torati, Zaburi, Injili,Quran. Lakini kilichokatazwa ni ushirikina'' - Sheikh Kipozeo
Uganga maana yake ni kumtibu mtu, mtu anaumwa ukamtibu akapona; unapata malipo kwa mwenyezi Mungu kwa hiyo uganga haujakatazwa katika vitabu vyote vinne (4) vya mwenyezi Mungu; Torati, Zaburi, Injili,Quran. Lakini kilichokatazwa ni ushirikina'' - Sheikh Kipozeo
0 Comments ·0 Shares ·330 Views