CONFIRMED: Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kiungo mkabaji Babacar Sarr.

Babacar alijiunga na Simba katika dirisha la usajili la mwezi Januari akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu ya US Monastir ya Tunisia.
🚨 CONFIRMED: Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kiungo mkabaji Babacar Sarr. Babacar alijiunga na Simba katika dirisha la usajili la mwezi Januari akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na timu ya US Monastir ya Tunisia.
Like
Love
2
0 التعليقات 0 المشاركات 115 مشاهدة