“Mkataba wangu na Yanga unamalizika lakini moja ya makubaliano makubwa na Rais (@caamil_88 ) kuwa ili nisaini anihakikishie Yanga tutakuwa na TV yetu na Redio yetu… Mtu aamke atazame hiyo kama anavyotazama Manchester United TV au zingine!”

“Pale ofisi za Yanga SC jengo jipya tayari kuna sehemu ya Studio… Tupo vizuri” Ally Kamwe, Afisa wa habari wa klabu ya Yanga SC.
“Mkataba wangu na Yanga unamalizika lakini moja ya makubaliano makubwa na Rais (@caamil_88 ) kuwa ili nisaini anihakikishie Yanga tutakuwa na TV yetu na Redio yetu… Mtu aamke atazame hiyo kama anavyotazama Manchester United TV au zingine!” “Pale ofisi za Yanga SC jengo jipya tayari kuna sehemu ya Studio… Tupo vizuri” Ally Kamwe, Afisa wa habari wa klabu ya Yanga SC.
Like
Love
3
1 Yorumlar 0 hisse senetleri 272 Views