“Haitakuwa rahisi kufikia Malengo Tuliyojiwekea, ni lazima tuimarike na kuwa bora zaidi ya tulivyokuwa msimu uliopita. Nafahamu kila timu inajandaa kwa ajili ya kukabiliana na Yanga. Hivyo, pamoja na usajili mzuri tuliofanya, tunapaswa kuongeza ubora wetu uwanjani,
“Kama klabu, msimu huu tunataka kuweka alama katika soka la Afrika, tunataka kuona Yanga inakuwa mongoni mwa timu tano bora barani Afrika,
“Mimi niko hapa kwa sababu moja tu, kuhakikisha tunafikia malengo hayo.” - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
“Kama klabu, msimu huu tunataka kuweka alama katika soka la Afrika, tunataka kuona Yanga inakuwa mongoni mwa timu tano bora barani Afrika,
“Mimi niko hapa kwa sababu moja tu, kuhakikisha tunafikia malengo hayo.” - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
“Haitakuwa rahisi kufikia Malengo Tuliyojiwekea, ni lazima tuimarike na kuwa bora zaidi ya tulivyokuwa msimu uliopita. Nafahamu kila timu inajandaa kwa ajili ya kukabiliana na Yanga. Hivyo, pamoja na usajili mzuri tuliofanya, tunapaswa kuongeza ubora wetu uwanjani,
“Kama klabu, msimu huu tunataka kuweka alama katika soka la Afrika, tunataka kuona Yanga inakuwa mongoni mwa timu tano bora barani Afrika,
“Mimi niko hapa kwa sababu moja tu, kuhakikisha tunafikia malengo hayo.” - Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.