" Tunavipaji vingi kwemye timu na tunaendelea kujenga umoja tunachukua mchezo huu kama michezo mingine na hatuna presha

Tunaingia kucheza kwa ajili ya kushinda na ni mchezo utaotupa picha ya kuelekea msimu ujao nimi cha kufanya zaidi ?

Hii ni timu mpya na project mpya mechi tulizocheza zinaendelea kutujenga na taratibu tutaendelea kuimarika

Hatuwezi kuzuia muda wote wala kushambulia muda wote lakini tutatengeneza mpango ambao tutaweza kushinda "

- David Fadlu, Kocha Simba SC
" Tunavipaji vingi kwemye timu na tunaendelea kujenga umoja tunachukua mchezo huu kama michezo mingine na hatuna presha Tunaingia kucheza kwa ajili ya kushinda na ni mchezo utaotupa picha ya kuelekea msimu ujao nimi cha kufanya zaidi ? Hii ni timu mpya na project mpya mechi tulizocheza zinaendelea kutujenga na taratibu tutaendelea kuimarika Hatuwezi kuzuia muda wote wala kushambulia muda wote lakini tutatengeneza mpango ambao tutaweza kushinda " - David Fadlu, Kocha Simba SC
Like
2
0 Commenti 0 condivisioni 264 Views