Awesu Awesu na Kagoma watacheza Simba msimu ujao licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwekewa mapingamizi na klabu zao za awali juu ya uhamisho wa wachezaji hao kujiunga na Simba.
Kutokana na vipengele vya kimkataba wa wachezaji hao ulikuwa unawaruhusu kuvunja mikataba na kuondoka hivyo Simba Wana nafasi kubwa kuwatumia kama kawaida katika michezo ya Ligi kuu inayotarajiwa kuanza siku za karibuni.
Kutokana na vipengele vya kimkataba wa wachezaji hao ulikuwa unawaruhusu kuvunja mikataba na kuondoka hivyo Simba Wana nafasi kubwa kuwatumia kama kawaida katika michezo ya Ligi kuu inayotarajiwa kuanza siku za karibuni.
Awesu Awesu na Kagoma watacheza Simba msimu ujao licha ya kuwepo kwa taarifa za kuwekewa mapingamizi na klabu zao za awali juu ya uhamisho wa wachezaji hao kujiunga na Simba.
Kutokana na vipengele vya kimkataba wa wachezaji hao ulikuwa unawaruhusu kuvunja mikataba na kuondoka hivyo Simba Wana nafasi kubwa kuwatumia kama kawaida katika michezo ya Ligi kuu inayotarajiwa kuanza siku za karibuni.