"Nimewatazama Wapinzani wote msimu huu naiona Simba yetu ikifanya maajabu ya dunia

Mpaka sasa Simba ndio timu yenye Wachezaji bora wenye viwango vikubwa mno, kilichobaki ni Mwalimu kutengeneza timu yenye mtiririko, muunganiko na maelewano ya pamoja

Eneo pekee linalohotaji nguvu mpya ya Nje ni eneo la Ushambuliaji nalo viongozi wetu wanakamilisha mpango hivi punde

Wana Simba tuwe na subira tumpe nafasi Mwalimu wa kufanya kazi yake tutakapoanza kula matunda ya furaha kila mtu atapata tunda lake

Ubaya Ubwela unaenda kukamilika" - Ahmed Ally, Afisa habari wa klabu ya Simba SC.
"Nimewatazama Wapinzani wote msimu huu naiona Simba yetu ikifanya maajabu ya dunia Mpaka sasa Simba ndio timu yenye Wachezaji bora wenye viwango vikubwa mno, kilichobaki ni Mwalimu kutengeneza timu yenye mtiririko, muunganiko na maelewano ya pamoja Eneo pekee linalohotaji nguvu mpya ya Nje ni eneo la Ushambuliaji nalo viongozi wetu wanakamilisha mpango hivi punde Wana Simba tuwe na subira tumpe nafasi Mwalimu wa kufanya kazi yake tutakapoanza kula matunda ya furaha kila mtu atapata tunda lake Ubaya Ubwela unaenda kukamilika" - Ahmed Ally, Afisa habari wa klabu ya Simba SC.
Like
2
2 Comments 0 Shares 355 Views