Dirisha la usajili linafungwa leo Alhamisi, saa 5:59 usiku Leo klabu ya Simba Sc huenda ikatambulisha mshambuliaji Lionel Ateba raia wa Cameroon akitokea klabu ya USM Alger ya Algeria Taarifa zinasema mchezaji huyo atasaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi.
#paulswai
Dirisha la usajili linafungwa leo Alhamisi, saa 5:59 usiku đź”—Leo klabu ya Simba Sc huenda ikatambulisha mshambuliaji Lionel Ateba raia wa Cameroon akitokea klabu ya USM Alger ya Algeria Taarifa zinasema mchezaji huyo atasaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi. #paulswai
Like
3
3 Kommentare 0 Anteile 137 Ansichten