Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na msimamizi wa CAF akidai sio uungwana kwa klabu kama Yanga kushindwa kutii maagizo ya CAF angali Taarifa wanayo.

Hata hivyo kwa mujibu wa Yanga kupitia mmoja wa ofisa wa benchi la ufundi alipopigiwa simu na waandishi kujua shida nini alidai hawana taarifa yoyote ya muda na wapi Mkutano unafanyika
Kitendo hicho kimelaaniwa vikali na msimamizi wa CAF akidai sio uungwana kwa klabu kama Yanga kushindwa kutii maagizo ya CAF angali Taarifa wanayo. Hata hivyo kwa mujibu wa Yanga kupitia mmoja wa ofisa wa benchi la ufundi alipopigiwa simu na waandishi kujua shida nini alidai hawana taarifa yoyote ya muda na wapi Mkutano unafanyika
Love
1
1 Kommentare 0 Anteile 144 Ansichten