Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetoa dola 50,000 ambayo ni takribani Shilingi milioni 137,550.00 za Kitanzania kwa klabu zote ambazo zitashiriki hatua ya awali kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika (CAF Champions League) na ile ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup).

Hatua hii inakuja kutokana na ahadi ya Rais wa (CAF), Dr Patrice Motsepe ya kuendelea kuboresha michuano hiyo ya ngazi ya vilabu barani Afrika.Na hii ni mara ya kwanza Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) kutoa msaada wa kifedha kwa klabu shiriki kwenye hatua hii. Huko nyuma klabu zilihitaji kufika hatua ya makundi ili kuweza kupata Fedha za CAF.

Aidha , michezo ya raundi ya awali itachezwa tarehe 16/18 Agosti 2024 huku marudiano kupangwa tarehe 23/25 Agosti 2024.
Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limetoa dola 50,000 ambayo ni takribani Shilingi milioni 137,550.00 za Kitanzania kwa klabu zote ambazo zitashiriki hatua ya awali kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika (CAF Champions League) na ile ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF Confederation Cup). Hatua hii inakuja kutokana na ahadi ya Rais wa (CAF), Dr Patrice Motsepe ya kuendelea kuboresha michuano hiyo ya ngazi ya vilabu barani Afrika.Na hii ni mara ya kwanza Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) kutoa msaada wa kifedha kwa klabu shiriki kwenye hatua hii. Huko nyuma klabu zilihitaji kufika hatua ya makundi ili kuweza kupata Fedha za CAF. Aidha , michezo ya raundi ya awali itachezwa tarehe 16/18 Agosti 2024 huku marudiano kupangwa tarehe 23/25 Agosti 2024.
Like
5
3 Yorumlar 0 hisse senetleri 296 Views