CHUKUA HII.

Simba Sports Club wamefunga angalau bao moja katika kila mechi kati ya mechi zao 53 zilizopita za ligi kuu Tanzania bara .

Mara ya mwisho kwa Simba SC kushindwa kukwamisha mpira wavuni katika mchezo wa ligi, ilikuwa ni mwezi October mwaka 2022 katika mechi waliyopoteza 1-0 dhidi ya Azam .

Hajaruhusu mpinzani yoyote kupata clean sheets dhidi yao kwenye ligi tangu kipindi hicho..
🚨 CHUKUA HII. Simba Sports Club wamefunga angalau bao moja katika kila mechi kati ya mechi zao 53 zilizopita za ligi kuu Tanzania bara . Mara ya mwisho kwa Simba SC kushindwa kukwamisha mpira wavuni katika mchezo wa ligi, ilikuwa ni mwezi October mwaka 2022 katika mechi waliyopoteza 1-0 dhidi ya Azam . ℹ️ Hajaruhusu mpinzani yoyote kupata clean sheets dhidi yao kwenye ligi tangu kipindi hicho..
Like
Love
6
5 Commentarii 0 Distribuiri 390 Views