."Klabu inamtambua @alikamwe kama afisa habari kwasababu mpaka sasa mkataba wake unasema hivyo. @hajismanara alikuwa Afisa habari wetu na alifanya kazi nzuri sana katika muda wake na alipopata changamoto akafungiwa kama klabu tulihitaji mtu wa kuisemea klabu na hapo ndipo tulimchukua @alikamwe

Kwa sasa Alikamwe ndie afisa habari wetu na upande wa Manara yeye ni mwanachama wetu na tunaangalia ni sehemu gani ambayo tutamuweka kwenye klabu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
."Klabu inamtambua @alikamwe kama afisa habari kwasababu mpaka sasa mkataba wake unasema hivyo. @hajismanara alikuwa Afisa habari wetu na alifanya kazi nzuri sana katika muda wake na alipopata changamoto akafungiwa kama klabu tulihitaji mtu wa kuisemea klabu na hapo ndipo tulimchukua @alikamwe Kwa sasa Alikamwe ndie afisa habari wetu na upande wa Manara yeye ni mwanachama wetu na tunaangalia ni sehemu gani ambayo tutamuweka kwenye klabu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
Love
Like
7
2 Comentários 0 Compartilhamentos 441 Visualizações