."Kuna timu nyingi sana ambazo zimeleta OFA kwa wachezaji wetu hata hii timu ambayo ndo kwanza inajijenga walileta OFA ya kumtaka Mzize lakini ukiingalia ndo kwanza wanajijenga sio sehemu ya Mzize kwenda kucheza.

Tunampelekaje kwenye timu ambayo haichezi klabu bingwa,timu ambayo tulipokutana nayo tumewafunga goli nyingie. Yanga ina kila kitu ambacho mchezaji anahitaji anakipata kwa hiyo tunapomtoa mchezaji lazima aende kwenye timu kubwa zaidi yetu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
."Kuna timu nyingi sana ambazo zimeleta OFA kwa wachezaji wetu hata hii timu ambayo ndo kwanza inajijenga walileta OFA ya kumtaka Mzize lakini ukiingalia ndo kwanza wanajijenga sio sehemu ya Mzize kwenda kucheza. Tunampelekaje kwenye timu ambayo haichezi klabu bingwa,timu ambayo tulipokutana nayo tumewafunga goli nyingie. Yanga ina kila kitu ambacho mchezaji anahitaji anakipata kwa hiyo tunapomtoa mchezaji lazima aende kwenye timu kubwa zaidi yetu" - @caamil_88 Rais wa klabu ya Yanga
Love
Like
8
1 Комментарии 0 Поделились 280 Просмотры