.饾悇饾惐饾惀饾惍饾惉饾悽饾惎饾悶 饾悎饾惂饾惌饾悶饾惈饾惎饾悽饾悶饾惏
“Kila mchezaji anayecheza Yanga anatakiwa na timu nyingine Afrika. Unajua ni kwa nini? Kwa sababu tuna wachezaji bora sana katika kikosi chetu.
“Walid Mzize ni tegemeo la taifa letu. Makocha wote wawili wa Yanga [Nabi na Gamondi] wamempa nafasi. Kwa sasa yuko kwenye mikono salama zaidi akiwa na jezi ya Yanga na ana mengi ya kujifunza na hapa ndio mahala sahihi kwake kwa maslani ya timu yetu ya Taifa pia" Eng Hersi Said
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
“Kila mchezaji anayecheza Yanga anatakiwa na timu nyingine Afrika. Unajua ni kwa nini? Kwa sababu tuna wachezaji bora sana katika kikosi chetu.
“Walid Mzize ni tegemeo la taifa letu. Makocha wote wawili wa Yanga [Nabi na Gamondi] wamempa nafasi. Kwa sasa yuko kwenye mikono salama zaidi akiwa na jezi ya Yanga na ana mengi ya kujifunza na hapa ndio mahala sahihi kwake kwa maslani ya timu yetu ya Taifa pia" Eng Hersi Said
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
.饾悇饾惐饾惀饾惍饾惉饾悽饾惎饾悶 饾悎饾惂饾惌饾悶饾惈饾惎饾悽饾悶饾惏馃敯
“Kila mchezaji anayecheza Yanga anatakiwa na timu nyingine Afrika. Unajua ni kwa nini? Kwa sababu tuna wachezaji bora sana katika kikosi chetu.
“Walid Mzize ni tegemeo la taifa letu. Makocha wote wawili wa Yanga [Nabi na Gamondi] wamempa nafasi. Kwa sasa yuko kwenye mikono salama zaidi akiwa na jezi ya Yanga na ana mengi ya kujifunza na hapa ndio mahala sahihi kwake kwa maslani ya timu yetu ya Taifa pia" Eng Hersi Said
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko