Mlinda mlango wa Simba Sports Club, Moussa Pinpin Camara ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Guinea kwa ajili ya michezo ya kufuzu AFCON 2025.

Guinea itacheza michezo miwili dhidi ya Tanzania na DR. Congo .
#paulswai
Mlinda mlango wa Simba Sports Club, Moussa Pinpin Camara ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Guinea ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ kwa ajili ya michezo ya kufuzu AFCON 2025. Guinea itacheza michezo miwili dhidi ya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na DR. Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ. #paulswai
Like
Love
2
2 Commenti 0 condivisioni 433 Views