Mise Ă  niveau vers Pro

Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!!

Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..?

Embu nisaidieni majibu.
#paulswai
Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!! đź”—Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..? Embu nisaidieni majibu. #paulswai
Like
2
2 Commentaires ·161 Vue