Upgrade to Pro

Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!!

Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..?

Embu nisaidieni majibu.
Kagoma alikua mchezaji wa Fountain Gate na Sio timu yoyote..!! 🔗Kama timu husika imeridhia kuwa mchezaji amesajiliwa kihalali na Simbasc na mchezaji yupo Simba hii timu nyingine inaingiaje kumtaka mchezaji..? Embu nisaidieni majibu.
Like
1
·146 Views