Atualizar para Plus

“Yusuph Kagoma hapaswi kuomba msamaha mtu au klabu yoyote kwa kilichotokea kwenye usajili wake kwani hakuwa mchezaji huru, ”

“ Kagoma hana kosa lolote, kila alilokuwa akifanya yalikuwa maelekezo ya klabu yake ya Fountain Gate hata Yanga kuongea na Kagoma walianza kuongea na klabu yake ili kupata baraka ya kuongea naye ila kinachoendelea kwa sasa ni kumdhalilisha tu mchezaji. ” Mwenyekiti wa Chama cha wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania, (SPUTANZA) - Mussa Kisoki
#paulswai
“Yusuph Kagoma hapaswi kuomba msamaha mtu au klabu yoyote kwa kilichotokea kwenye usajili wake kwani hakuwa mchezaji huru, ” “ Kagoma hana kosa lolote, kila alilokuwa akifanya yalikuwa maelekezo ya klabu yake ya Fountain Gate hata Yanga kuongea na Kagoma walianza kuongea na klabu yake ili kupata baraka ya kuongea naye ila kinachoendelea kwa sasa ni kumdhalilisha tu mchezaji. ” Mwenyekiti wa Chama cha wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania, (SPUTANZA) - Mussa Kisoki #paulswai
Like
2
·169 Visualizações