.Nchini Africa kusini mtoto wa miaka 11 ajiua kama zawadi ya sikuya kuzaliwa kwa mama yake huku akimwachia barua iliyoandikwa leo ni siku yako muhimu mama nataka uwe na furaha milele, kila siku ulikuwa ukinambia furaha yako ilitoweka tangu siku uliponizaa mimi, ukanambia baba yangu piah alikuacha kwa sababu yangu mimi. Kwahiyo leo nimeamua kubadilisha hayo yote nataka uwe na furaha na uishi kama sikuwahi kuzaliwa. Ulinambia hukuwahi kunipenda tangu unizae lakini mimi nilikupenda na kukuona kama mama bora kwangu duniani. natumai siku moja utanikumbuka na utanifikiria, natumai mbinguni utanishika, utanikumbatia na kunibusu. Zawadi bora ambayo napaswa kukupatia ni kuondoka maishani mwako kama ulivyotamani usingenizaa. Nakupenda saaana mama. Heri ya siku yako ya kuzaliwa.
Chanzo
Tuwe makini na maneno kwa watoto tulio pata bila matarajio🙏🏾🙏🏾
Chanzo
Tuwe makini na maneno kwa watoto tulio pata bila matarajio🙏🏾🙏🏾
.Nchini Africa kusini mtoto wa miaka 11 ajiua kama zawadi ya sikuya kuzaliwa kwa mama yake huku akimwachia barua iliyoandikwa leo ni siku yako muhimu mama nataka uwe na furaha milele, kila siku ulikuwa ukinambia furaha yako ilitoweka tangu siku uliponizaa mimi, ukanambia baba yangu piah alikuacha kwa sababu yangu mimi. Kwahiyo leo nimeamua kubadilisha hayo yote nataka uwe na furaha na uishi kama sikuwahi kuzaliwa. Ulinambia hukuwahi kunipenda tangu unizae lakini mimi nilikupenda na kukuona kama mama bora kwangu duniani. natumai siku moja utanikumbuka na utanifikiria, natumai mbinguni utanishika, utanikumbatia na kunibusu. Zawadi bora ambayo napaswa kukupatia ni kuondoka maishani mwako kama ulivyotamani usingenizaa. Nakupenda saaana mama. Heri ya siku yako ya kuzaliwa.
Chanzo
Tuwe makini na maneno kwa watoto tulio pata bila matarajio🙏🏾🙏🏾😭😪😪
4 Comentários
·455 Visualizações