*1. Siku Moja Utastaafu.*
Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa!
Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara.

*2. Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.*
Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.Kama unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu.

*3. Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.*
Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki kama benki yako. Utapoteza heshima na utu wako.

*4. Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia* wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi)

*5. Utastaafia Wapi?.*
Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba.
Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali.

@PM SPORTS
#PM96
*1. Siku Moja Utastaafu.* Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa! Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara. *2. Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.* Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.Kama unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu. *3. Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.* Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki kama benki yako. Utapoteza heshima na utu wako. *4. Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia* wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi) *5. Utastaafia Wapi?.* Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba. Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali. @PM SPORTS #PM96
0 Comments 0 Shares 218 Views