CAF CONFEDERATION CUP
.
SIMBA SC AL AHLI TRIPOLI
16:00
Machinjioni kwa Mkapa
.
Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu.
.
Kila la Kheri @SimbaSCTanzania
#paulswai
CAF CONFEDERATION CUP πŸ† . πŸ‡ΉπŸ‡Ώ SIMBA SC πŸ†š AL AHLI TRIPOLI πŸ‡±πŸ‡Ύ ⏰ 16:00 🏟️ Machinjioni kwa Mkapa . Mnyama anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, tayari Walibya walioonyesha kuingiwa ubaridi mapema tangu walipokuja nchini kwa kuweka ulinzi wa mabaunsa na kukimbilia katika ubalozi wa nchi hiyo kama kujihami pengine kwa kile kilichofanywa na mashabiki wao wiki iliyopita kuwafanyia fujo Wekundu hao baada ya kutoka suluhu. . Kila la Kheri @SimbaSCTanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ #paulswai
Like
4
Β· 1 Commenti Β·0 condivisioni Β·492 Views