“Ndani ya muda mfupi najisikia furaha kuwa hapa. Nilikuwa na wakati mzuri Misri ambako tuliweka kambi na kilikuwa kipindi kizuri kwangu kuanza kufahamiana na wachezaji wenzangu. Nashukuru kwamba kocha alikuwa wazi kwangu na wachezaji wengine juu ya namna ambavyo anataka kuona timu ikicheza,” Débora Fernandes Mavambo, kiungo wa boli.
#paulswai
🎙️ “Ndani ya muda mfupi najisikia furaha kuwa hapa. Nilikuwa na wakati mzuri Misri ambako tuliweka kambi na kilikuwa kipindi kizuri kwangu kuanza kufahamiana na wachezaji wenzangu. Nashukuru kwamba kocha alikuwa wazi kwangu na wachezaji wengine juu ya namna ambavyo anataka kuona timu ikicheza,” Débora Fernandes Mavambo, kiungo wa boli. #paulswai
Love
Haha
2
0 Comments 0 Shares 89 Views