.Kwenye press ya Wazee waliojitambulisha kuwa ni “Wazee wa Simba” wamekuja na matakwa yafuatayo:

1- GSM aache mara moja kudhamini klabu nane za Ligi Kuu, kwa kufanya hivyo wanaamini wanajitengenezea mazingira ya alama za bure.

2- Wamewakataa Waamuzi watatu kwa majina Ahmed Arajiga, Herri Sasii na Ramadhan Kayoko, wamesema wanataka Marefa wa nje ya nchi sio Tanzania.

Baadhi ya vitu wanavyodai ambavyo vinasababisha mvurugano katimu yao wametoa siku saba wawe wameviondoa.
.Kwenye press ya Wazee waliojitambulisha kuwa ni “Wazee wa Simba” wamekuja na matakwa yafuatayo: 1- GSM aache mara moja kudhamini klabu nane za Ligi Kuu, kwa kufanya hivyo wanaamini wanajitengenezea mazingira ya alama za bure. 2- Wamewakataa Waamuzi watatu kwa majina Ahmed Arajiga, Herri Sasii na Ramadhan Kayoko, wamesema wanataka Marefa wa nje ya nchi sio Tanzania. Baadhi ya vitu wanavyodai ambavyo vinasababisha mvurugano katimu yao wametoa siku saba wawe wameviondoa.
Like
Love
5
· 36 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·247 Views