Leia mais
šŽš…š…šˆš‚šˆš€š‹ šEWS @fahadbayo22 raia wa Uganda amekamilisha usajili wa kujiunga na Yanga SC. Fahad Bayo anasubiri dirisha dogo la usajili lifunguliwe ili aanze kuitumikia klabu ya @yangasc Jean Baleke hatokuwa tena sehemu ya kikosi cha yangasc litakapofunguliwa dirisha dogo la usajili.
0 ComentĆ”rios Ā·0 Compartilhamentos Ā·425 VisualizaƧƵes