FADLU ANAMSUBIRIA KWA HAMU MPANZU KWENYE KIKOSI CHAKE

Fadlu ameonyesha kufurahishwa na uwezo wa mchezaji huyo akisema ni aina ya usajili ambao Simba ilihitaji kwani ni mchezaji ambaye anaweza kuingia katika kikosi cha kwanza moja kwa moja.

Fadlu amesema kulingana na mahitaji ya mechi, atamtafumia Mpanzu katika majukumu ambayo anaamini atakuwa na mchango mkubwa

"Mpanzu anaweza kucheza nafasi nyingi. Anaweza kucheza kushoto, kulia, namba 10 na hata namba 9, Ni mchezaji mwenye ujuzi na akibaki na beki mmoja. Ana uwezo wa kufunga magoli, na kufanya mikimbio pia kucheza kwenye maeneo yenye nafasi finyu uwanjani"

"Hivyo ni jukumu letu kutafuta nafasi ambayo ataonyesha ubora wake zaidi," alisema Fadlu.

#paulswai
FADLU ANAMSUBIRIA KWA HAMU MPANZU KWENYE KIKOSI CHAKE Fadlu ameonyesha kufurahishwa na uwezo wa mchezaji huyo akisema ni aina ya usajili ambao Simba ilihitaji kwani ni mchezaji ambaye anaweza kuingia katika kikosi cha kwanza moja kwa moja. Fadlu amesema kulingana na mahitaji ya mechi, atamtafumia Mpanzu katika majukumu ambayo anaamini atakuwa na mchango mkubwa "Mpanzu anaweza kucheza nafasi nyingi. Anaweza kucheza kushoto, kulia, namba 10 na hata namba 9, Ni mchezaji mwenye ujuzi na akibaki na beki mmoja. Ana uwezo wa kufunga magoli, na kufanya mikimbio pia kucheza kwenye maeneo yenye nafasi finyu uwanjani" "Hivyo ni jukumu letu kutafuta nafasi ambayo ataonyesha ubora wake zaidi," alisema Fadlu. #paulswai
Love
2
· 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·164 Views