CAF CONFEDERATION CUP

CS SFAXIEN SIMBA SC
19:00
Hammadi Agrebi

Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19.

Kila la kheri Wenyenchi @simbasctanzania

#paulswai
CAF CONFEDERATION CUP đŸ‡č🇳 CS SFAXIEN 🆚 SIMBA SC đŸ‡č🇿 ⏰ 19:00 đŸŸïž Hammadi Agrebi Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19. Kila la kheri Wenyenchi @simbasctanzania đŸ‡č🇿đŸ‡č🇿 #paulswai
Like
4
2 Commentaires 0 Parts 2KB Vue