*Mamba anayedaiwa kuua watu kadhaa wakiwa katika shughuli za kibinadamu ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Kasenyi, Wilaya ya Sengerema, Mwanza, ameuawa na wananchi kwa kumtega kwa kutumia ndoano.*
*Mamba anayedaiwa kuua watu kadhaa wakiwa katika shughuli za kibinadamu ndani ya Ziwa Victoria katika Kijiji cha Kasenyi, Wilaya ya Sengerema, Mwanza, ameuawa na wananchi kwa kumtega kwa kutumia ndoano.*
0 Comments
0 Shares
958 Views