"Mpira ni mchezo wa makosa ndiyo, lakini makosa yanayojirudia rudia na kusababisha mabao ni hatari sana hasa yakiwa yanafanywa na mlinzi tena mlinzi wa kati. Che-Malone hili ni kosa lake la 5 kubwa kwenye CAFCC msimu huu na ni kosa la 2 ambalo limezaa bao la moja kwa moja, mchezo na CS Sfaxien alichoma kama leo. Anapaswa kujiangalia sana kocha asimchoke akaangalia chaguo lingine" - Jemedari Said, Mchambuzi.
"Mpira ni mchezo wa makosa ndiyo, lakini makosa yanayojirudia rudia na kusababisha mabao ni hatari sana hasa yakiwa yanafanywa na mlinzi tena mlinzi wa kati. Che-Malone hili ni kosa lake la 5 kubwa kwenye CAFCC msimu huu na ni kosa la 2 ambalo limezaa bao la moja kwa moja, mchezo na CS Sfaxien alichoma kama leo. Anapaswa kujiangalia sana kocha asimchoke akaangalia chaguo lingine" - Jemedari Said, Mchambuzi.
