Uingereza na Ukraine zimesaini makubaliano ya miaka 100, huku Uingereza ikiahidi kuipa mkopo kwa ajili ya ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 2.6 [trilioni 6.5] kwa ajili ya kupambana na uvamizi wa Urusi.

Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema mkopo huo hautalipwa na Ukraine bali kutoka kwenye mali za Urusi zilizozuiliwa.
Uingereza na Ukraine zimesaini makubaliano ya miaka 100, huku Uingereza ikiahidi kuipa mkopo kwa ajili ya ununuzi wa silaha na vifaa vya kijeshi vya dola bilioni 2.6 [trilioni 6.5] kwa ajili ya kupambana na uvamizi wa Urusi. Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer amesema mkopo huo hautalipwa na Ukraine bali kutoka kwenye mali za Urusi zilizozuiliwa.
Like
1
· 0 Comments ·0 Shares ·344 Views