饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞

“Wachezaji tupo tayari kwa mchezo kesho, tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na kila mchezaji anapaswa kuwa tayari kiakili ili kuweza kuhimili presha ya mchezo, umakini ndio jambo ambalo wachezaji tunapaswa kusisitiza, tunafahamu ukifanya makosa katika mechi muhimu kama hii inaweza kuigharimu timu hivyo ni muhimu sana kuongeza umakini” Dickson Job

#timuyawananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
#neliudcosih
饾悘饾悜饾悇饾悞饾悞馃挰 “Wachezaji tupo tayari kwa mchezo kesho, tunafahamu utakuwa mchezo mgumu na kila mchezaji anapaswa kuwa tayari kiakili ili kuweza kuhimili presha ya mchezo, umakini ndio jambo ambalo wachezaji tunapaswa kusisitiza, tunafahamu ukifanya makosa katika mechi muhimu kama hii inaweza kuigharimu timu hivyo ni muhimu sana kuongeza umakini” Dickson Job #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
Like
4
0 Commentarios 0 Acciones 1K Views