RASMI : Young Africans vs Ken Gold ni Khalid Aucho na Maokoto Day....

Mashabiki wa klab ya Young Africans wameuomba Uongozi wa klab yao Juu ya kumtaarifu kiungo wao Mkabaji Raia wa Uganda Khalid Aucho 'Doctor' kuwa ndiye watakaye mpa zawadi ya pesa 'Maokoto kwenye kibegi' siku ya Jumatano kwenye mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Klab ya Ken Gold,

Ameyasema hayo Mkuu wa kitengo cha habari Ali kamwe baada ya kupokea maombi hayo kutoka kwa mashabiki wa klab yao,

Mashabiki wa klab ya Yanga wamekuwa na utaratibu huo na baadhi ya wachezaji ambao wamepata maokoto hayo ni:

Bacca
Kibwana
Mzize
Maxi
Pacome

Next game:

🫶Young Africans vs Ken Gold
05-02-2025
16:00 Hrs
Kmc Complex
RASMI : Young Africans vs Ken Gold ni Khalid Aucho na Maokoto Day.... Mashabiki wa klab ya Young Africans wameuomba Uongozi wa klab yao Juu ya kumtaarifu kiungo wao Mkabaji Raia wa Uganda Khalid Aucho 'Doctor' kuwa ndiye watakaye mpa zawadi ya pesa 'Maokoto kwenye kibegi' siku ya Jumatano kwenye mchezo wao wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Klab ya Ken Gold, Ameyasema hayo Mkuu wa kitengo cha habari Ali kamwe baada ya kupokea maombi hayo kutoka kwa mashabiki wa klab yao, Mashabiki wa klab ya Yanga wamekuwa na utaratibu huo na baadhi ya wachezaji ambao wamepata maokoto hayo ni: 👉Bacca 👉Kibwana 👉Mzize 👉Maxi 👉Pacome Next game: 🫶Young Africans vs Ken Gold 📌05-02-2025 🕑16:00 Hrs ⛳Kmc Complex
Like
2
· 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·333 Views